Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

Tangu KIKWETE awe raisi kila mtu anajiona anaweza kuwa raisi. come 2015 mtaona mambo.

yani mkuu tunakoelekea,sintashangaa kuskia mwigulu nchemba nae kapendekezwa!tz vi2ko haviishi aisee!
 
Ninasikiliza vichwa vya habari magazeti ya LEO eti Mzee Mwandosya amempendekeza Anna Makinda kwa urais 2015.

Huyu Mwandosya naona walimlisha madudu makali sana hata amekosa uwiano wa ubongo na mdomo! na hata wabunge fulani wamemuunga mkono: Mimi nadhani hiyo ni chokonoa ili tuseme Makinda hafai bora Migiro ili CCM waanze kuchekelea na haya magalasa yao.
 
hongera kikwete kwa kuwajengea watanzania uwezo wa kiuongozi na kujiamini kuongoza nchi.

Sio Watanzania tu bali mtu yeyote mwenye Umri zaidi ya Miaka 12 anaweza kuwa Rais Tanzania,Labda Sheria za Uhamiaji zimbane.
 
kila siku huwa najiuliza ni kwa nini makinda alipewa uspika wa bunge,na ninapata tabu sana na uwezo wa watu wengi ndani ya ccm...na jana wabunge wametumia muda mwingi kumsifu makinda eti amechaguliwa kuwa mwenyekiti sijui wanini....najiuliza bunge linamshinda huo uongozi alio pewa atauweza?sishangai walio msifia sana jana kwa sababu wote walio walio msifia ni wazee hivyo sina wasiwasi ningepata tabu sana kama angesimama mbunge kijana na kumsifia...kweli tanzania inavyanzo vingi vya maajabu...haya nayo ni maajabu.....
 
bora mama salma, kwani kwa sasa ndiye anaongoza nchi indirectly, tumpe mamlaka kamili kuliko huyu makinda, atamaliza vijana lol
 
Bi Mkor'a hana haiba ya uprezidaa, I would rather pick "Joka la Kibisa"
 
CCM inaonekena kuwa na hazina kubwa na uchaguzi mpana wa "candidates"
 
Honestly Makinda akiwa rais 2015 nahama nchi!!!!
 
Ukiona watu wanadharau kazi yako ujue kazi uwezi Jk ndo ujipime maana kila mtu anaona uraisi ni kazi Makinda bunge limemshinda kuliongoza kwa kanuni ila leo anaona urais anauweza kweli ccm ni janga
 
Makinda ni mwanamke wa shoka, we utabaki na wivu wako hapo


Inawezekana unaunga mkono kutokana na ufanisi alioupata katika kuliendesha bunge kibabe, kuendekeza vijembe na mipasho pasipo udhibiti! Kumbuka Bunge ni taasisi ya wasomi wanaojua sheria kanuni na taratibu, kuwaongoza watu sampuli hio aghalabu ni rahisi sana ukiwa na kipaji cha uongozi, ukiwashindwa hao, uhamie kwetu akina yahe mabingwa wa kulalamikia kila jambo, kazi yake si ya kitoto!
 
Ninasikiliza vichwa
vya habari magazeti ya LEO eti Mzee Mwandosya amempendekeza Anna
Makinda kwa urais 2015.

My Take:
Uraisi sasa imekuwa ni JOKE na inaonekana kila mtu anaweza kuwa rais wa
Tanzania. Inaelekea nchi hii haina hata JOB DESCRIPTION YA
URAIS

hivi sifa za mtu kuwa Rais wa nchi ni zipi ambazo Anna Makinda hana?
 
[FONT=comic sans
ms]CCM inaonekena kuwa na hazina kubwa na uchaguzi mpana wa
"candidates"[/FONT]

Mkuu, hiyo ndo inawapa pressure na jambajamba chadema. maana kila mtu ndani ya ccm wanaona ni mkali. sijui! ila naamini hata ccm wasiposimamisha mtu, watu watakipigia tu kura kwa vile wana imani nacho kuliko hizi saccos za akina slaa
 
ni haki kwa mtanzania yeyote kufikiria kuwatumikia watz kwa nafasi ya urais. Wananchi ndio watapima uwezo wake

Wenzenu wanavyoimarisha uchumi mnabaki mnalialia tu, kumbe ujinga umewakaa sana....
 
CCM inajua kuwa waroho wa kuutaka uraisi mwaka 2015, ni wengi mno, inachokifanya kijanja kabisa ni kuwatosa baadhi ya wanaoota njozi za namna hio kwenye dimbwi la wapiga kura waanze kuwachana chana mapema ili wanaoweza kukata tamaa ya kuendeleza njozi zao wajiengue wenyewe, au wapate "weak points" za kuwatoselea mbali! Chezea mipango mikakati ya akina Mwiguru!
 
Mkuu, hiyo ndo inawapa pressure na jambajamba chadema. maana kila mtu ndani ya ccm wanaona ni mkali. sijui! ila naamini hata ccm wasiposimamisha mtu, watu watakipigia tu kura kwa vile wana imani nacho kuliko hizi saccos za akina slaa
Mmeishazoea akili ndogo kuongoza akili kubwa ndani ya CCM. Ndio maana inakuwa vigumu kwenu kujua nani anafaa kuwa rais na nani hafai...
 
Inawezekana
unaunga mkono kutokana na ufanisi alioupata katika kuliendesha bunge
kibabe, kuendekeza vijembe na mipasho pasipo udhibiti! Kumbuka Bunge ni
taasisi ya wasomi wanaojua sheria kanuni na taratibu, kuwaongoza watu
sampili hio aghalabu ni rahisi sana ukiwa na kipaji cha uongozi,
ukiwashindwa hao, uhamie kwetu akina yahe mabingwa wa kulalamikia kila
jambo, kazi yake si ya kitoto!

hivi, Mbowe, Mnyika, Rose Kamili, Halima Mdee, Sugu, Msigwa, Ndesamburo na wengine ndani ya CHADEMA, wana uwezo wa kumzidi Mama Makinda? acheni dharau jamani
 
Back
Top Bottom