Mwanaumme ni nini?

Namchukia mwanaume asiyejua majukumu yake!!!huwa ananikera wa hvyo kila k2 mpaka aambiwe naomba hiki!nataka hiki vikorokoro kibao akumbushwe,mwanaume ni mwanaume tu hakuna cha haki sawa wanawake wanacheza mchezo ambao hawatakuja kushinda kamwe.
 
kwangu mimi mwanaume ni yule anayejiamini,anayejipenda na kupenda wengine,msafi wa mwili na roho(kiroho inaweza isiwe 100% as no 1 is perfect before God),aniheshimu na kunijali,nimdekee na yeye adeke kwangu,asiyeboa ,pia awe ni mtu ambaye hata ukiwa nae unajiamini kwenda nae popote yaani asichague maeneo flan afu mengine aweke mipaka!
 
Mkuu umetisha!
 
Uanaume ni sifa,yafaa kila jinsia,
Julikane kitaifa,ili ipate tulia,
sije kuwa kama "fifa",na mpira kufifia,
Uanaume juhudi...

Usije dhani ni rika,Siku moja tafikia,
wala sio ushirika,ndani yake kuchangia,
Uanaume pirika,ngaikia masulia,
Uanaume ni dhima....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…