Mwanaumme ni nini?

...uanaume........................
 
owaishe, nkotalikuzoka si.., okabulila kanyigo? shairi zuli sana.
 
Hello Ruta nilikumiss juzi nimemuuliza mtu umepotelea wapi akaniambia hajui, nice ur back, haswa wanaume wa sasa hivi tatizo ni haya mashule ya boarding toka baby class sasa atajuaje majukumu ya uanaume badala yake anafikiri umwanaume ni kuwa tu na uwezo wa kukatumia kakifaa kake, mwanaume hadi aitwe kichwa cha nyumba ni zaidi ya tujuavyo, kikubwa mi naona ni kujua majukumu na kujua maana ya kuchaguliwa na Mungu kuongoza familia, kwa hekima na maarifa.
 
Mwanamme ni kuingia bank kudeposit au kuchukua mzigo,Pili mwanamme kazi lzm mtarimbo uwe unafua nazi au dafu!!
 
Mbona kiungo muhimu hakiongelewi hapa! kumbukeni hayo yote mwanamke pia anaweza kuyafanya...
 

Haika kwa kifupi mwanaumme ni kuyajua na kuyakubali majukumu yake........
 
Last edited by a moderator:

Kigarama.....tupo pamoja......................naona nawe umo kwenye huu ulimwengu wa tenzi
 
Last edited by a moderator:
[MENTION]
Mamzalendo[/MENTION] hapo kwenye red umeniacha mbavu zinaniuma mno.........................nimecheka mno
 
Kuku ni kuku,jogoo jina.Hujui ki baolojia tuko nusu wanaume,nusu wanawake.So,mwanaume ni UUME.Hata kama hana pesa,nyumba wala gari.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…