malimingiii
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 968
- 1,343
Hii ishu imenikumbusha kuna kipindi nilikua nimepanga. Kwenye hiyo compaund tuko wapangaj sita ila ukija huwez kuta mtu kakaa nje. Kila mtu na mambo yake. Mwenye nyumba hakai hapo ila ameacha vyumba vuwili self kwa ajili ya dharura. Akija mjin kwa biashara zake au watoto wake wanalala pale. Kuna mtoto wa mwenye nyumba wa kike (ameolewa) akaja mjin kwenye semina akalala pale siku kadhaa. Siku ya mwisho akaingiza kidume ndani kikapiga show mpaka asubuh. Usiku hizo kelele ilikua ni balaa. Kumbe walikulia pale ila wakahama baadae kwa sababu ya biashara