Mwanaume mtaalamu jikoni

...aisee wewe ropoka tu bana, usijali kuitwa majina...halafu hii tabia ya kujitegemea kila kitu ndiyo inayoinizidisha na kiburi cha kutotafuta msaidizi wa maisha....
labda siku nikitamani chapati, kidogoo nalegeza kamba ya nani atanifaa...Oopss

MTM fagilia sana hizo service apartments kamanda, hats off bro...tangu nigundue raha zake
sifagilii tena mambo ya vyumba.

Hhahahahaha, yani Mbu wazo la kutafuta mwenza linakujia hamu ya chapati ikijitokeza?Ntakupa somo siku nyingine ujiridhishe bila mawazo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu X-Paster na MTM ningewagongea thanks au like ila bahati mbaya natumia kisimu cha mchina.
Mmeongea ya maana hadi naishiwa la kuongeza.
 
...aisee wewe ropoka tu bana, usijali kuitwa majina...halafu hii tabia ya kujitegemea kila kitu ndiyo inayoinizidisha na kiburi cha kutotafuta msaidizi wa maisha....
labda siku nikitamani chapati, kidogoo nalegeza kamba ya nani atanifaa...Oopss

MTM fagilia sana hizo service apartments kamanda, hats off bro...tangu nigundue raha zake
sifagilii tena mambo ya vyumba.
Unajua kamanda siogopi majina lakini hii mentaliti mtu akiwa nayo basi anakuwa so conservative na hakuelewi. Na naongea hivi kwasababu mwenyewe nilipokuwa Afrika nilikuwa na mtazamo huo huo na nilikuwa hauna la kunieleza kuhusiana na habari ya mwanaume kupika na although mpaka leo sipendi cooking lakini nilipofika huko the so called utumwani nikagundua style ya maisha mpya kabisa na inakubalika na watu wako proud nayo na ndio maana nasema hapa kuna clash of civilisation, at the end of the day kila mtu atabakia na msimamo wake.
 

....kuoa hiari, kula lazima.
Kabila yangu? usijali...mie mswahili.
THANK YOU, THANK YOU, THANK YOU.
Mimi hua nasema kitu cha lazima ni kile tu ambacho ukikikosa unapoteza maisha. Swala la kuwaambia watu kuoa ni lazima siafikiani nalo kabisa, hata wanangu ntawaambia.Wakitaka haya, wasipotaka vile vile maamuzi ni yao.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
@x-paster
anyway partly yes partly no
we mwanamme ubaki home unafanya nini wakati mkeo kaenda kazini?
Kwa nini usiwe wewe umeenda kazini mkeo abaki anapika?
Familia ni taasisi na baba ni ceo
sasa ceo gani anamwachia kaimu majukumu muhimu

angalia Tz, entinty ya juu kabisa kukosa kuwa na msimamo nchi ka inayumba vile hata kama wa chini yake wana msimamo vipi

eti baba yuko jikoni anapika bintizake na mkewe wanatizama TV, duh hizo ni egoli tupu, kwa wanaoishi nje labda mazingira yamewalazimisha kuwa hivo
 
sioni clash
ni choice yako to uproot the pumpkia around the homusted
kuishi ulaya hakumaanishi lazima uache kacha yako na kufuata yao
au kuona yao ni bora kuliko yetu
its by choice not force
Mkuu hata uko nchi za ulaya, still bado wapo ambao wanaona kuwa kazi za jikoni ni kazi ya mwanamke, mpaka leo bado nchi kama Uingereza, kulea watoto, na kazi zingine zaa nyumbani wanaona ni za kike japokuwa ndio nchi zinazoongoza kwa hizo zinazo itwa haki za wanawake... Kesi za kuwanyanyasa wanawake ni nyingi tu, tatizo watu wengi wanadanganywa na hizi filam za kutoka ulaya na Amerika... Wakiona yale maisha na mapenzi ya kwenye zile filam basi wanafikilia ndio hali halisi, kumbe maisha halisi ni tofauti kabisa.

Ni saawa tulivyokuwa tukifikiria kuwa wazungu wote ni matajiri na hakuna masikini, kumbe si hivyo.... Utashangaa mzungu anakuomba umwelekeze jinsi ya kuandika baadhi ya spelling za lugha yake.... Mc donald na burger king zinawasaidia sana wale watu.
 
sioni clash
ni choice yako to uproot the pumpkia around the homusted
kuishi ulaya hakumaanishi lazima uache kacha yako na kufuata yao
au kuona yao ni bora kuliko yetu
its by choice not force
hehehe Kongosho siongelei kuishi ulaya au nje ya Tanzania, naongelea mazingira. Kuna sehem unakuwa hauna mjomba wala shangazi na hakuna mama ntilie ya kuponea kwa bei za kizembe plus majukumu kibao sasa mida imefika wewe utasubiri waifu arejee akupikie? Hao wazungu wengi wao wamesukumwa na mazingira kama sisi tulivyosukumwa na mazingira.
 
Lifestyle inatubana
hasa shule hizi
na kutaka kujipanga kwanza
muulize bibi ako aliolewa na umri gani
na ndo mana walikuwa wanauwezo wa kuzaa watoto wengi sababu walianza mapema
sasa unaolewa na miaka 30 wakati ukifika 35 unaanza kuwa kwenye red zone kwenye mambo ya uzazi


Sasa kama biology ndio inayotuma watu kuoa kwanini tusioane tukishabalehe na kuvunja ungo tukiwa na miaka 12????
 
Hahahahahaha, AHSANTE SANA X-Pastor.

Kuhusu hayo maji na bia nadhani wengi wangeamua kufa kwa kiu.
 
Lifestyle inatubana
hasa shule hizi
na kutaka kujipanga kwanza
muulize bibi ako aliolewa na umri gani
na ndo mana walikuwa wanauwezo wa kuzaa watoto wengi sababu walianza mapema
sasa unaolewa na miaka 30 wakati ukifika 35 unaanza kuwa kwenye red zone kwenye mambo ya uzazi
Wala sina haja ya kumuuliza.Bibi yangu aliolewa akiwa naumri wa miaka ishirini na kitu.Sio kila mtu wa zamani alikua akisubiria ndoa tu.
 
hebu ngoja nikajikumbushe sifa za viumbe
kuzaliana kama vile ilikuwemo
labda nimesahau
sasa wewe sijui kiu yako unaitibu kwa wali
kwa kuwa umesema ni mswahili
reference yako ntaichulia TZ
ndo ilikuwa maana yangu


....kuoa hiari, kula lazima.
Kabila yangu? usijali...mie mswahili.
 
kamon liz
s.e.x ni biology
kama kiumbe hai yeyote we need it
soona fter adolescence
tunajizuia sababu ya lifestyle
kuzaa nje ya ndoa is unacceptable
kwa mazingira yetu
japo inawezekana

Kwahiyo wale ambae hawakuwahi kuoa/kuolewa ila wameacha watoto walikua wanajibiolojia wenyewe?
 
kamon liz
s.e.x ni biology
kama kiumbe hai yeyote we need it
soona fter adolescence
tunajizuia sababu ya lifestyle
kuzaa nje ya ndoa is unacceptable
kwa mazingira yetu
japo inawezekana

Unacceptabke to whom?
You?Unatuwakilisha wote tuliopo hapa duniani?
Kila mtu anachagua aina ya maisha anayotaka.Sio kila mtu anataka kuoa/kuolewa kwasababu sio lazima kwake.Ndoa zenyewe za majaribio hizi??Sio kila mtu ana huo muda. Na swala la kuzaa bila ndoa vile vile ni maaumuzi, kama wahusika wameridhia, wapembeni wanaumizwa na nini?
 
@x-paster
anyway partly yes partly no
we mwanamme ubaki home unafanya nini wakati mkeo kaenda kazini?
Kwa nini usiwe wewe umeenda kazini mkeo abaki anapika?
Familia ni taasisi na baba ni ceo
sasa ceo gani anamwachia kaimu majukumu muhimu

angalia Tz, entinty ya juu kabisa kukosa kuwa na msimamo nchi ka inayumba vile hata kama wa chini yake wana msimamo vipi

eti baba yuko jikoni anapika bintizake na mkewe wanatizama TV, duh hizo ni egoli tupu, kwa wanaoishi nje labda mazingira yamewalazimisha kuwa hivo
Mkuu, samahani kidogo maybe niliharakisha kujibu bandiko lako lililopita hapo juu... Dah! Sijui nianze vipi anyway...

Maisha ndugu yana mambo mengi sana, hivi nikuulize mkuu wangu, wewe na wife nyote ni wafanyakazi, kwa bahati ghafi mwanaume umepata ile kitu inaitwa lidandasi, umeondoshwa kazini, kwa ufupi huna kazi ya kuajiriwa, ndio tuseme na wife wako utamwambia awache kazi eti kwa kuwa tu wewe utabakia nyumbani na watoto!?

Wakati mwingine sisi wanaume tunaamua kuishi na fikra za kizimwi, yaani unaishi kwa kujitisha kuwa wewe ndiye wewe, mimi nakubaliana na wewe kuwa mwanaume ndio kichwa cha nyumba na haswa yanapokuja maamuzi mazito ya kifamilia, lakini si vibaya kuishirikisha familia yako kwa hikma na busara pale inapobidi... Mimi nawajuwa baadhi ya watu ambao wanachukuwa mawazo wya wake zao na wakija uku nje mbele ya wanaume wenzao wanasema kuwa lile wazo ni lake yeye baba mwenye nyumba, mimi sioni tatizo kwa ilo... Ndio maana nikasema kuwa haya maisha ya kwenye familia zetu ni nyinyi wenyewe jinsi mtakavyo amua kuyaendesha, mimi sioni kama ni haki kwa watu wanaoishi nje ya familia yako kuingilia vile mlivyojiamulia as long as hayo mambo hayaendi kinyume na haki za msingi za kibinadamu, mimi sioni tatizo...!

Mkiamua kufuata mila na desturi za makabila yenu, yote kheri mkuu, lakini ugomvi ni pale marafiki, ndugu na majirani wanapoanza kutaka kuwapangia jinsi ya kuishi wewe na familia yako, hiyo si sawa, ila kama unataka kuwapendezesha wao, basi si tatizo, kinachotakiwa ni upendo na amani ndani ya nyumba, basi ilo ndio la msingi.
 
mmh, unapofanya research
hasa za kijamii/zinazohusu tabia za binadamu na mahusiano
unapataje conclusion?
Si ni kwa %?

We dont live in isolation
acceptable to society
hata uwe free kiasi gani
kinachokataliwa na jamii inayokuzunguka kinakataliwa tu
na hiyo waill always be on ur background

Unacceptabke to whom?
You?Unatuwakilisha wote tuliopo hapa duniani?
Kila mtu anachagua aina ya maisha anayotaka.Sio kila mtu anataka kuoa/kuolewa kwasababu sio lazima kwake.Ndoa zenyewe za majaribio hizi??Sio kila mtu ana huo muda. Na swala la kuzaa bila ndoa vile vile ni maaumuzi, kama wahusika wameridhia, wapembeni wanaumizwa na nini?
 
@xpaster
on every rule/principle kuna exceptions
sometimes we call them limitations

mwanamme kupewa lidandansi na kubaki home ni sawa
na hutokea
lakini ndani ya time t
anatakiwa awe amepata suluhisho
apate kitu kingine cha kufanya

hivi ukiwa ceo, na kampuni ikakumbwa misukosuko utaiacha ife eti sababu yalitokea matatizo?
Ni wajibu wako kuiokoa na kuhakikisha inasavaivu
same aplies kwa baba wa familia
lazima awe kichwa cha familia
hasa kwenye kuresolve matatizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom