Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,133
- Thread starter
- #81
Unacceptable by whom?kamon liz
s.e.x ni biology
kama kiumbe hai yeyote we need it
soona fter adolescence
tunajizuia sababu ya lifestyle
kuzaa nje ya ndoa is unacceptable
kwa mazingira yetu
japo inawezekana
Kama mimi naona ni poa, familia yangu inaona ni poa, na marafiki zangu wanaona ni poa, huyo wa kuniaminisha kwamba ni unacceptable ni nani?