miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 906
- Thread starter
- #181
Aah wapi nyote walewale tuachana nae njoo kwangu upate mahaba.
Aah wapi nyote walewale tuachana nae njoo kwangu upate mahaba.
try meAah wapi nyote walewale tu
Mhkuzirazira inaonekana ana umama sana.
inaonekana unapenda waongeaji wakukudanganya
Mgawe tafutwa na mwingineHapa kwenyewe katoka kuzira kwenye simu huyu mm simuwez aisee
Umeshawapitia wote dada yngu?Aah wapi nyote walewale tu
YEAH... NEVER TRUST A WOMAN (full stop)Kitu kingine haniamini kabisa yaani haamini kama yuko peke yake,
Kanda maalumu huyo atakuwa kila kitu comandWamezoea kudekezwa na mama zao hao..sipendagi waziraji khaa..mimi nizire ..mwanaume uzire sasa nani atampetipeti mwenzake..mxiuuuuu
na kwa wasio na wapenzi je?.. amani ya moyo wanapata wapiHakuna maisha bila mapenzi mkuu na katika utafutaji huo wa hela lazima uwe na amani ya moyo nayo inaletwa na mapenzi
Nevertry me
[emoji23] [emoji23] [emoji23] et jamaniWamezoea kudekezwa na mama zao hao..sipendagi waziraji khaa..mimi nizire ..mwanaume uzire sasa nani atampetipeti mwenzake..mxiuuuuu
Kwenye wivu hapana kabisa kwanza hajakaa hata kushika simu yangu hata nikiongea na simu ye hajali yupo tuHapo kwenye kununa nuna, haipendezi.
Na kingine Jamaa yako anaonesha ana wivu sana.
Ila kuhusu kutokuongea, inaelekea Jamaa ni Mtu wa kuuchuna.
Kuna Watu ndio wako hivyo, sio waongeaji
Mm 25 yeye 28wewe una umri gan na yeye pia ana age gan?
Sasa kama unajua ni tabia yake unataka umbadilishe?Na wala sionyeshi sana kama nampenda maana najua atasumbua zaidi sema tu ni tabia yake