Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

Kwani mwanamke hupaswi kumuhudumia??
Ni sawa mwanamke anapaswa kuhudumiwa mana moja kati ya majukumu ya mwanaume ni kumuhudumia mke wake ila sometimes wanawake mmezidi kuomba omba pesa kila mara.Yani msione nguo mpya imetoka lazima utake kununuliwa.Hata kama mna mahitaji yenu lakini muwe mnaomba pesa kistaarabu sio kila siku mara nataka hiki mara nataka kile haifai kwakweli.
 
Back
Top Bottom