miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 906
- Thread starter
- #141
Mmh kawaida mkuu??Tatzo hapo ni swala la kununa ila hayo mengine ni kawaida kwa mwanaume anaejielewa.
Mmh kawaida mkuu??Tatzo hapo ni swala la kununa ila hayo mengine ni kawaida kwa mwanaume anaejielewa.
MmmhYan kuna watu wanachezea
shiling kwenye tundu la choo
Usawa huu unapata mwanamke
Mwenye mapenz ya that af
Unamfanya kama mpira wa kona
Aiseee!!!
Miss embu nakuomba Pm
Mmmh sio wote mbona na hajawahi hata kuonesha dalilihahaaaa...kama ni huko mpe tigo tuu ataonyesha mapenzi mpaka upende..asipo tifua choo hapati raha mkuu
Mmmh unanifahamuje mkuu nambie isije kuwa nimefumaniwa
Hapo tu ndo hajawahi kususaHebu tuwekee picha kwanza, yaani mwanaume anasusa papuchi?
SawaMtaka mawili moja humponyoka.
kupendwa ni muhimu kupgiana cm ovyo ni utoto. labda m2 kama huyo mjarib tu ili kujua anakupenda. wew endelea tu kumpigia cm alaf unatafuta cku unatulia kama cku mbili humpigii kama anakupenda atapata shida lazima akupigie tu.
kuzirazira ni kutokana na mapenz aliyo kuwa nayo unajua mtu anapo kupenda ukimkosea kidogo inamuuma sana.
mim kuna kipind nilikuta mpenz wang anachat na rafiki yake wa kiume alaf yule rafik yake anamuita mpenz wang my love duh nilimaind mpaka mwisho aliomba msamaha sana ila siku msamehe ila baadae hasira zilivyo pungua nilimuelewa tena ila hakurudia tena.
Yaani nyinyi ni vigumu kueadefine aseeHio ni hali ya wanaume tulio wengi, Hatuchukulii uzito kila jambo, hisia anazo sana ila kuziona ni mpaka umfumanie anapiga story na rafiki ake waneaminiana sana hapo utamnasa akikusifia sana. Kuzira anakuinyesha kuwa yeye ni mwanaume kamili hata kama utaamua kumkacha anasimama kama yeye, kwa kifupi ni kwamba maisha bila wewe bado yanaenda japo anakupenda sana.
Umeonaee mkuu mapenzi nahis hakunielewaDuh.. Mapenzi ni tofauti na ngono mkuu, nahisi inachanganya kama sio kuelewa
Bravooo[emoji122][emoji122][emoji122]Ngono ipo kwa ajili ya kufanya PRODUCTION kwa viumbe hai( refer to REPRODUCTION topic) lakini Mapenzi ni sense of mind yaan Ubongo pamoja na Moyo. I know You know that UBONGO ndo Organ amuzi kuu pekee ya kuamua nn kifanyike so, Hitaji la Ubongo(Mapenzi) ni muhimu zaidi kuliko hitaji la mwili(ngono) ndo maana tunaumia zaidi tukiambiwa ''sikutaki'' kuliko kuambiwa ''sikupi nyapu'' coz not important at all
HahahaaMalezi ya kijinga tu aliopewa na wazazi wake ndio chanzo. Cha kufanya mchane tu mwambie aache utoto litakuwa li lastborne child bila shaka.
Nitafanya hivoHayo ni mapenzi ya kulazimishana na ww c umkaushie hata wiki uone respond yake
hilo la kutokuwa na tamaa ni ukwel hana tamaa kabixa anaridhka na maisha yetuShukuru mungu tu kuwa unampa hela, mahutaji yake na pengine labda mpenzio sio mtu wa tamaa tamaa kama hawa ma slay queen wa jijini,, vinginevyo kwa hayo mapigo ungekuwa ushalizwa mapema sana!
Kuridhika tu inatosha kuonesha huyo ni mwanamke mvumilivu ambaye mnaweza ishi mazingira yeyote bila shida. Trust me angekuwa demu mcharuko ungeshaachwa, maana hawaonagi tabu kuwa na mabwana wengi kwa wakati mmoja.hilo la kutokuwa na tamaa ni ukwel hana tamaa kabixa anaridhka na maisha yetu
Mapenzi ya kweli na halisi ni :- 1. Uaminifu (uwazi kuaminiana kujitoa).Habari za usiku,
Kuna mwanaume nimedumu nae kwa takribani miezi 5 mpaka sasa lakini kitu kinachonikera ni mtu wa kuzirazira na kususa susa sana mpaka najiuliza huyu ana mapenzi ya dhati kweli maana mimi najua mwanaume hasusi na hasa kwa mwanamke ampendae na pia huwa sio mtu wa story.
Yaani anaweza mkakaa hapo kimya mpaka uanze wewe kuongea na wakati mwingine simu anaweza akakaa siku nzima asipige au akipiga anaongea maneno mawili tu keshakata.
Kitu kingine haniamini kabisa yaani haamini kama yuko peke yake, kama labda umetoka utasikia ulikuwa wapi au ulikuwa kwa bwanako nini yaani saa zingine anaongea huku anacheka kana kwamba hanionei wivu.
Naomba wenye experience na mapenzi hii ikoje hasa katika mahusiano.
kwahyo inaweza kuwa yuko tofauti na mtoa mada!Kuridhika tu inatosha kuonesha huyo ni mwanamke mvumilivu ambaye mnaweza ishi mazingira yeyote bila shida. Trust me angekuwa demu mcharuko ungeshaachwa, maana hawaonagi tabu kuwa na mabwana wengi kwa wakati mmoja.
Yeahkwahyo inaweza kuwa yuko tofauti na mtoa mada!