Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

Mwanaume kuzirazira sababu yake nini?

Huyo anaweza kuwa na moja kati ya haya
1. Ni wa mwisho kuzaliwa
2. Alianza mahusiano na wewe kupunguza stress za kuachana na mpz wake aliempenda ila anaona hufeet kwenye lile gap anatafuta njia ya kuacha
3. Hajakuzoe au hajiamini labda wew umemzidi status sasa anahic akipiga story anaweza kukosea.
4. Yeye yupo kwenye kundi la Frgematic, maana kundi hili huwa co wadau wa story.
5 anaweza kuwa na mambo yanamchanganya jaribu kuongea nae kwa upole kama yapo jaribu kimfarij. Atakuona wewe mi mhimu kwenye maisha yake.
Mwisho muombee mpz wako kwa bidii na imani kubwa maana shetan huwa hapendi kuona watu wanapendana na uwe mvumilivu, miezi 5 ni michache sana kukata tamaa.
Nilikuwa natafuta nani atamshauri huyu maana niliona masihala yalikuwa kwenye baadhi ya shauri nilizozisoma hapa.

Hili mimi nimelielewa angalau
 
Mkuu mapenzi ni more than huko kukazana cjui
hiyo more ndio nini best,,,,miezi mitano michache sana kuanza kulalama,,,, kama unampenda ongeza 7months,,,,,ni mapema mno dada,,,mapenzi hayana haraka.....ila bado sijajua wanawake mnataka nini hasa.....
Tafiti zinazoishi na sisi.JPG
 
ok..wote bado mnanuka maziwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo kwenye kununa nuna, haipendezi.

Na kingine Jamaa yako anaonesha ana wivu sana.

Ila kuhusu kutokuongea, inaelekea Jamaa ni Mtu wa kuuchuna.

Kuna Watu ndio wako hivyo, sio waongeaji
Hvi ni dhambi kutokuwa muongeaji?
 
Back
Top Bottom