Mwanaume kutovaa chupi

Mwanaume kutovaa chupi

Kwa mimi ambae kila nikiona tu mheshimiwa anaibuka ni lazima nivae chupi au boxa ya kubana maana si mchezo
 
Wakuu habarini za kunyooshwa na sizonje.Kwanza kabisa ningependa niweke wazi jinsia yangu then nieleze dokezo langu.Mimi ni mwanaume miaka ishirini na.Nipo chuo hapa mlimani nachukua masomo ya sayansi ya jamii.Tatizo nililokua nalo mimi toka nianze chuo sijawahi kuvaa chupi wala boksa au bukta zaid ya nguo moja tu.Je!hili ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume..??
Unatatizo kwa kijana wa umri huo dushe halikawii kusimama ukiwa karibu na watoto wa kike. Ni sekunde sifuri tu dude linainuka, na inakuwa fedheha. Kama haliinuki kuna tatizo. Hakuna kitu kinachosumbua kuficha kama dushe likisimama in public Afu hujavaa boksaaaa
 
Wakuu habarini za kunyooshwa na sizonje.Kwanza kabisa ningependa niweke wazi jinsia yangu then nieleze dokezo langu.Mimi ni mwanaume miaka ishirini na.Nipo chuo hapa mlimani nachukua masomo ya sayansi ya jamii.Tatizo nililokua nalo mimi toka nianze chuo sijawahi kuvaa chupi wala boksa au bukta zaid ya nguo moja tu.Je!hili ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume..??
Hali ya hewa inaruhusu mkuu
 
Na migari ya dar inavyojazwa hua unashika chuma na midume ikiwa nyuma yako na usuruale wa kitambaa? Kuna kitabia kibaya kitakupeleka unapoelekea
 
Duh! Una ujasiri kaka wengine kutoka nje bila boxer ndani ni next to impossible kwa sababu za kiufundi zaidi
 
Wakuu habarini za kunyooshwa na sizonje.Kwanza kabisa ningependa niweke wazi jinsia yangu then nieleze dokezo langu.Mimi ni mwanaume miaka ishirini na.Nipo chuo hapa mlimani nachukua masomo ya sayansi ya jamii.Tatizo nililokua nalo mimi toka nianze chuo sijawahi kuvaa chupi wala boksa au bukta zaid ya nguo moja tu.Je!hili ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume..??
Unaelekea kuwa delicious!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom