Faida ya uvaaji wa chupi, boksa, au bukta ni pale itakapotokea dharula ta kutatuka suluwali bado utakua umesitilika kinyume na pale usipovaa
si hivyo tu lakini ikumbukwe kwama uvaaji wa nguo ya ndani inazuwia pia mitikisiko ya mwili maaneo muhimu kama mbele na nyuma hivyo inakuwa hujaweweka wenzio katika majaribu,
Maana kuna baadhi ya waja wana maradhi wakiona mtikisiko wa maumbile ya wenziwao huwa wanapatwa na maradhi ya mfazaiko
Nikunasihii mkuu uwe unavaa nguo ya ndani vinginevyo wanzio watakuwekea dhana mbaya kuwa wewe ni ktk Bashite