Nashauri kiitwe CWCnashukuru mkuu sipo peke yangu,njoo tuanzishe chama chetu cha wasiovaa kitu,,Chama cha Wasiovaa kitu Tanzania(CWKT)
Jamii forum siku hizi hakuna ile mijadala heavy.... Yani eti tujadili jamaa havai pichu what a heckHaya ndio maswali ya wasomi wetu,alafu tunategemea viwanda ! Labda vya komoni
tuoneshe wew kinachoendana na elimu yako
Chama cha Wasiovaa Ch...pindii nn mkuu
Wakuu habarini za kunyooshwa na sizonje.Kwanza kabisa ningependa niweke wazi jinsia yangu then nieleze dokezo langu.Mimi ni mwanaume miaka ishirini na.Nipo chuo hapa mlimani nachukua masomo ya sayansi ya jamii.Tatizo nililokua nalo mimi toka nianze chuo sijawahi kuvaa chupi wala boksa au bukta zaid ya nguo moja tu.Je!hili ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume..??