Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,414
- 5,697
Nadhani hii inawahusu wenyewe vibamia tu
Kabisa naunga na wewe maana ule mnara ukiamua kunyanyuka mbona itakuwa shida hata kama ni jeans inasukwasukwa
Nadhani hii inawahusu wenyewe vibamia tu
Kama una kibamia nguo za ndani hazikuhusu. Endelea hivyo hivyoWakuu habarini za kunyooshwa na sizonje.Kwanza kabisa ningependa niweke wazi jinsia yangu then nieleze dokezo langu.Mimi ni mwanaume miaka ishirini na.Nipo chuo hapa mlimani nachukua masomo ya sayansi ya jamii.Tatizo nililokua nalo mimi toka nianze chuo sijawahi kuvaa chupi wala boksa au bukta zaid ya nguo moja tu.Je!hili ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume..??
kamashine kako kanaruhusu ivio..bahat yako ujapewa yale ya wamasai na wananii hahaa.Wakuu habarini za kunyooshwa na sizonje.Kwanza kabisa ningependa niweke wazi jinsia yangu then nieleze dokezo langu.Mimi ni mwanaume miaka ishirini na.Nipo chuo hapa mlimani nachukua masomo ya sayansi ya jamii.Tatizo nililokua nalo mimi toka nianze chuo sijawahi kuvaa chupi wala boksa au bukta zaid ya nguo moja tu.Je!hili ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume..??