dogo unasoma mwaka wa ngapi?Wakuu habarini za kunyooshwa na sizonje.Kwanza kabisa ningependa niweke wazi jinsia yangu then nieleze dokezo langu.Mimi ni mwanaume miaka ishirini na.Nipo chuo hapa mlimani nachukua masomo ya sayansi ya jamii.Tatizo nililokua nalo mimi toka nianze chuo sijawahi kuvaa chupi wala boksa au bukta zaid ya nguo moja tu.Je!hili ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume..??
kitu kina count oscillations kama pendulum 24/7Muda wote huwa uko tubeless?
Ushawai kubanwa na zipu kwenye dushezipu haiwezi funguka ninavaaga suruali zisizo na zipu
Ndio unajilinganisha na dada yako, matoto mengine bana sio riziki hayatatizo gani mbona wasichana hawavai
Vp shemito wako uwaga ana vaa nii atiiiii !????? Bikini au cyoosawa mkuu
Haya ndio maswali ya wasomi wetu,alafu tunategemea viwanda ! Labda vya komoni

Duh!Mimi Bujibuji na mke wangu mpenzi Miss Natafuta hatuvaagi
mhMambo aganza?
Napenda lugha yako ya upole!
Kweli niamini eti..aganza!