Warren.T
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 900
- 318
Pm yenyewe si mpaka ajue inatumwaje!
Wacha weee! Haizuiliwi kuwa na ndoto, ila jinsi ya kutimiza ndoto hizo ndio shughuli. Kilalakheri.
Naenda kwa bibi utakoma,dog style inakuhusu!!!
Pm yenyewe si mpaka ajue inatumwaje!
Wacha weee! Haizuiliwi kuwa na ndoto, ila jinsi ya kutimiza ndoto hizo ndio shughuli. Kilalakheri.
Nimeona mkuu....
Hawa ndiyo wajukuu wenyewe...
Hivi hawa mabinti wa siku hizi wakoje? Uzee utakutokeaje kwa mfano? Mandela mwenyewe kafa akiwa kijana....
Hommie do the needful kwa huyo mgeni, huyu atoto niachie nimkuze.
Tooooooba!! Kwahiyo mnamgawana pacha wangu mbele ya majicho yangu!!
Wacha weeeh!! Ila huyo ni mjukuu wako, nani alikutuma uzae ujiwa na miaka 14?? Ndio ushakuwa babu tena
Weeee pacha wangu mumuache ati nyie mababu, lasivyo nitawasemea kwa babu Dark City
Wanaume mnapendaga nini kwa mwanamke? Mpikiwe chakula kizuri? "sex" ya kumaliza kiu yako au mfanyweje? Mana hata mpendweje hampendeki
ukitaka mahusiano yadumu.
1.mwanamke mheshimu sana mwanaume anachotaka kubaliana naye
2.mwanamme mpende sana mwanamke wako
Ukimheshimu atakupenda na ukimpenda atakupa heshima yako.
Hii ni kwa wale waliotulia wanahitaji mapenzi ya kweli na mahusiano yenye maendeleo na kudumu, sex mtafundishana pesa mtatafuta wote....
Lakini kwa vicheche na walaghai, malaya na onja onja wao hata uwafanyie nini ni kazi bure kabisa utajikondesha...
Yap,mwanamme anataka awe anapata kitu roho inapenda bila kucheleweshewaMmh ht km akiniambia anataka tgo!
Mapenzi ni zaidi ya hayo yote mapenzi ni hisia za ndani kabisa ambazo huwa haziguswi na matamanio ya kawaida ya kimwili ya mwanadamu
Bahati mbaya siku hizi mapenzi sio hisia tena bali huendeshwa na mihemko mwonekano wa nje kipato umaarufu Uzuri na show offs za kijinga
Wapo wachache waliobahatika kukutanisha hisia zao na kuzisikiliza wanaishi kwenye pepo ya raha na Furaha