Mwanaume anapenda nini kwa mwanamke?

Mwanaume anapenda nini kwa mwanamke?

Good BRAIN (mwanamke awe na akili ya maisha),
Good LOVING (mwanamke ajue kupenda, utii & heshima),
Good FOOD (mwanamke asiwe mvivu jikoni, ajue kupika),
Good SEX (sex ya kukata kiu and without excuses za kijinga),
Sweet words,
USAFI (mwanamke awe msafi wa mwili na ndani ya nyumba).

For me, hii ndo full package from a woman whom I wish to have.

kama kuna mengine ni ziada
 
Wanaume mnapendaga nini kwa mwanamke? Mpikiwe chakula kizuri? "sex" ya kumaliza kiu yako au mfanyweje? Mana hata mpendweje hampendeki

An old lady said...mpende, mheshimu ila k ndio silaha yako...ila ajue tu k niyake peke yake....ila anapewa kwa mgao...as reward for good deeds. ...hahahha...k isiwe available in excess
 
Wanaume mnapendaga nini kwa mwanamke? Mpikiwe chakula kizuri? "sex" ya kumaliza kiu yako au mfanyweje? Mana hata mpendweje hampendeki
mwanaume anatajuwa asiekeweke abadilike badilike kila wakati hasa akiwa na mpenzi borntown,maana wanawake wakijua akipendacho mwanaume huchukulia kama udhaifu na kutumia huo mwanya kufanya maigizo tu ya kimapenzi. Hivyo ukiona mwanaume haeleweki we vumilia tu maana hata wanawake nao hawaeleweki
 
Back
Top Bottom