Mwanaume anapenda nini kwa mwanamke?

Mwanaume anapenda nini kwa mwanamke?

Tunapenda tusifuatwe fuatwe na wake/ wapenzi wetu tunapokuwa ktk mambo yetu ya kiume. Ila wanawake wetu watulie nyumbani, msitupe mastress ya wivu! Kwa kifupi, mtuheshimu!

kwahyo cc ndo 2namioyo ya chuma au hatuna wivu mpk useme 2siwafate fate kwny mambo yenu ya "kiume?"
 
Hata hakunaga kabisa sababu za kueleweka....

Ni kweli kila mwanaume ana vipaumbele vyake. Suala la kutafuta vipaumbele vya jumla utakesha. Cha muhimu ni kumsoma mume wako anataka nini na ufanye hayo..basi. Ila baada ya wanawake wengi kujiaminisha kwenye hubadilika na kutokuwa wasikivu kwa waume zao. Nafikiri hili ni tatizo kubwa sana linawasumbua wengi.
 
Binafsi sipendi mwanamke mwenye insecurity problem. Kama ikitokea mambo ya kiuchumi hayajaenda sawa kipindi fulani nataka ubaki kuwa yule yule. Hii ni kwasababu najua kwenye maisha kuna ups and down. Ukiona kuyumba wakati niko down, siwezi kukithamini tena siku nikiwa up. Hiki ni kipimo kinawashinda wanawake wengi.
 
Wanaume hata mfanyweje hamuliziki mimi hapa natamani hata kuvunja mji sioni raha ya ndoa isipo kuwa naambulia matus toka kwa malaya wake
 
ukitaka mahusiano yadumu.
1.mwanamke mheshimu sana mwanaume anachotaka kubaliana naye
2.mwanamme mpende sana mwanamke wako
Ukimheshimu atakupenda na ukimpenda atakupa heshima yako.
Hii ni kwa wale waliotulia wanahitaji mapenzi ya kweli na mahusiano yenye maendeleo na kudumu, sex mtafundishana pesa mtatafuta wote....
Lakini kwa vicheche na walaghai, malaya na onja onja wao hata uwafanyie nini ni kazi bure kabisa utajikondesha...
Rubii mama,ushaolewa/kupata mwenzi/mchumba,kama sivyo njoo chemba tusemezane!
 
ukitaka mahusiano yadumu.
1.mwanamke mheshimu sana mwanaume anachotaka kubaliana naye
2.mwanamme mpende sana mwanamke wako
Ukimheshimu atakupenda na ukimpenda atakupa heshima yako.
Hii ni kwa wale waliotulia wanahitaji mapenzi ya kweli na mahusiano yenye maendeleo na kudumu, sex mtafundishana pesa mtatafuta wote....
Lakini kwa vicheche na walaghai, malaya na onja onja wao hata uwafanyie nini ni kazi bure kabisa utajikondesha
Kwangu hii ni post nzuri zaidi kuwahi kukutana nayo,be blessed!
 
ukitaka mahusiano yadumu.
1.mwanamke mheshimu sana mwanaume anachotaka kubaliana naye
2.mwanamme mpende sana mwanamke wako
Ukimheshimu atakupenda na ukimpenda atakupa heshima yako.
Hii ni kwa wale waliotulia wanahitaji mapenzi ya kweli na mahusiano yenye maendeleo na kudumu, sex mtafundishana pesa mtatafuta wote....
Lakini kwa vicheche na walaghai, malaya na onja onja wao hata uwafanyie nini ni kazi bure kabisa utajikondesha
Kwangu hii ni post nzuri zaidi kuwahi kukutana nayo,be blessed!

Mkuu Si useme tu umeanza kuweka ulimbo
 
ukitaka mahusiano yadumu.
1.mwanamke mheshimu sana mwanaume anachotaka kubaliana naye
2.mwanamme mpende sana mwanamke wako
Ukimheshimu atakupenda na ukimpenda atakupa heshima yako.
Hii ni kwa wale waliotulia wanahitaji mapenzi ya kweli na mahusiano yenye maendeleo na kudumu, sex mtafundishana pesa mtatafuta wote....
Lakini kwa vicheche na walaghai, malaya na onja onja wao hata uwafanyie nini ni kazi bure kabisa utajikondesha
Kwangu hii ni post nzuri zaidi kuwahi kukutana nayo,be blessed!

Oh Asante kipenzi.
unaendeleaje na mkeo lakini
 
Dudu tu hakuna kulemba! Oh sijui movie sijui shopping we nipe dudu 24/7
 
Back
Top Bottom