Umeongea kitu cha kweli kabisa na nimeona na nimeshuudia kwa macho yangu mawili kwa la tatu...:A S 41:ukitaka mahusiano yadumu.
1.mwanamke mheshimu sana mwanaume anachotaka kubaliana naye
2.mwanamme mpende sana mwanamke wako
Ukimheshimu atakupenda na ukimpenda atakupa heshima yako.
Hii ni kwa wale waliotulia wanahitaji mapenzi ya kweli na mahusiano yenye maendeleo na kudumu, sex mtafundishana pesa mtatafuta wote....
Lakini kwa vicheche na walaghai, malaya na onja onja wao hata uwafanyie nini ni kazi bure kabisa utajikondesha...
Uaminifu....
Uaminifu....
Uaminifu....
Utiifu......
Heshima.....
Madeko......
Uchangamfu.....
Usafi na unadhifu....
Maku yenye uwezo wa kuhimili kimboto vizuri....
Nafasi ya kufanya mambo yangu mengine.....
Good sex and food......
Wanaume wanapenda papuchi tuu
ukitaka mahusiano yadumu.
1.mwanamke mheshimu sana mwanaume anachotaka kubaliana naye
2.mwanamme mpende sana mwanamke wako
Ukimheshimu atakupenda na ukimpenda atakupa heshima yako.
Hii ni kwa wale waliotulia wanahitaji mapenzi ya kweli na mahusiano yenye maendeleo na kudumu, sex mtafundishana pesa mtatafuta wote....
Lakini kwa vicheche na walaghai, malaya na onja onja wao hata uwafanyie nini ni kazi bure kabisa utajikondesha...