Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

Eti sifa kuu Moja mbona kama umetaja kibao,kupenda,kutimiziwa,kupewa furaha,na kutopewa masharti.Wanawake kaeni mjadiliane mnataka kimoja kipi mstick nacho,"you either get a hot food or a good night sleep,Not both!!!!
Mleta uzi ni mwanamke Mkuu, hawaelewekagi wanataka nini hao
 
Ahhah hayo mashart yasidizi sana
Yaan utoke uzurure zurure kwangu haiwezekani
Uongee na mama yako kila muda nayo Ni upuuzi
Mazoea ya hovyo na watu pia Ni mwiko
Ila mahitaji yote utapata kila kitu hautajihangaisha wewe
 
Yaan utoke uzurure zurure kwangu haiwezekani
Uongee na mama yako kila muda nayo Ni upuuzi
Mazoea ya hovyo na watu pia Ni mwiko
Ila mahitaji yote utapata kila kitu hautajihangaisha wewe
Sijaona shart gumu hapo zaid ya kuzurura ila most be uwepo nikizururasiyo?
 
Back
Top Bottom