Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare.

Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Tafuta mbwa ndiyo mwenye sifa hizo. Unatakiwa usipewe masharti, uachiwe ukagawe hovyo! Mara leo birth ya shosti, kesho msiba, kesho kutwa kuvunja vikoba... uachwe tu
 
Kuhonga maana yake Ni kutoa hela au kitu cha thamani ili kupata kitu Chenye thamani zaidi. Je, wanawake mna kitu gani cha thamani kiasi cha kustahili kuhongwa?!
You're right. Ndio maana Taletale alitoa pesa akapewa Phd[emoji1787][emoji1787]
 
Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare.

Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga

Nyie mnataka kibunda tuu hamna jambo lingine!! Ku care ndo kunakuwaje tupe elimu kidogo lakini kama inahisiana na pesa achana na izo mambo
 
Feminist wana kazi kubwa sna yakuwa elimisha hawa wanawake wengne , wanaodhani mwanamke kuchakarika ni kuuza utamu.
 
Mukimpata wa hivo mnaanza kumuona Fala mwisho wa siku mnaenda kupelekea mbususu kwa bad boys
 
"Mwanaume anayejua nini mwanamke anataka."
Sema unachotaka sio mi nijue unachotaka, inaonesha wazi hujui unachotaka ajabu unataka mwanaume akijue!
 
Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare.

Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Ungesema ni hela tu.
 
Back
Top Bottom