Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

Mwanaume wa Kila mwanamke

1 Awe anajua kucare

2 Anajua kumpenda
i.e a) anajua nini mwanamke anataka;
Kuna wanawake wanafikiria
wanachokitaka alafu wanategemea ukijue BIla hata wao wenyewe kusema

b) amtimizie anavyovitaka Kwa wakati ;
Huyu mwanamke hajali kama una Hela au Hauna anataka tu umtimizie

c) Anampa furaha muda mwingi ;
Huyu mwanamke anatagemea furaha yake itoke kwako.Na hakuna binadamu anayeweza kumpa mwanadamu mwenzake furaha ya kweli ni Mwenyezi Mungu tu.
Pia kwenye mahusiano hujaingia Ili kupata furaha tu.Kuna shida za hapa na pale sasa huyo mwanaume anayetaka ampe furaha muda wote atatokea wapi.

Je huyo mwanaume akupe furaha muda wote na wewe utaweza kumpa hiyo furaha muda wote au unataka hata kama umemboa aendelee tu kukupa furaha

d) Hana masharti ya kijinga; Masharti ya kijinga ni yapi?? Unataka kufanya mambo ya kijinga alafu akuchekee.

Mtoa mada umeongea mengi Sana unayotaka kutoka Kwa mwanaume.Na mengi hayana msingi.Wewe utampa nini akikupa VYOTE hivyo???

##HUYU MWANAUME UNAYEMUONGELEA HAYUPO NA HATAKUJA KUWEPO. LABDA UWE UMEOLEWA NA MWANAMKE MWENZAKO.
 
Ndomana mnaliwa matako kisa hizi tamaa 0713 zitachakaa sana
 
Kucare nini? Achia code hiyo dada. Sema Mwanaume anayehonga, anatuma na ya kutolea pasipo kusubiri kupewa invoice.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anazunguka sana , awe direct ...au akiona malipo yanachelewa asogee road achukue wa short time mbona easy tuu
 
Huyo mwanaume labda mzee bakhresa au Aliko Dangote ndio anaweza kuku care bila kukufuatilia., [emoji3][emoji3][emoji3]!

Waume za watu wataendelea kuwala hadi mwisho wa dahari nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23] hawa malaya wameamua kuja kujitangaza waziwazi
 
Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare.

Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Wanawake wa siku hizi ni kama chura tu. Chura haeleweki amekaa, amesimaa au amelala. Utafanya hayo na hataridhika
 
Kucare nini? Achia code hiyo dada. Sema Mwanaume anayehonga, anatuma na ya kutolea pasipo kusubiri kupewa invoice.
Kuna dada aliwahi niambia ku care ni zaidi ya hayo
 
Kucare nini? Achia code hiyo dada. Sema Mwanaume anayehonga, anatuma na ya kutolea pasipo kusubiri kupewa invoice.
Haha nilijua siku ile unanitania kumbe ni tirati yako kutumiwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare.

Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga

Na sisi tunatafuta ambaye anastahili na kuleta value kwenye relationship, no free lunch, everything is earned.
 
Sema mume wa mtu ukimpata naye unasahau shida kidogo [emoji23][emoji23][emoji23] kuliko ivi single boy
Unasahau kidogo tu ukifumwa na mkewe unachomwa kisu cha tako kabla shida ya kumwagwa haijakukumba[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom