Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,131
- 14,610
Ni Kama popo tuKweli wanawake mnahangaika duuuh..
Ni Kama popo tuKweli wanawake mnahangaika duuuh..
Figo76 inaelekea wewe ni aina ya wanawake wasumbufu sana kwenye mahusiano. Yaan wewe unawaza kitu akilini mwako unataka mwanaume atambue akutimizie bila wewe kusema.Mamboo
Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa
Mwanaume ambaye anajua kucare
Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Hulka ya mwanamke ni kupokea, yaani kama ambavyo ukitaka kukojoa anakuambia "kojoa ndani" yaani "nikojolee", anakuwa anapokea waajemi wako, basi na mengine yote anahitaji kupokea.Figo76 inaelekea wewe ni aina ya wanawake wasumbufu sana kwenye mahusiano. Yaan wewe unawaza kitu akilini mwako unataka mwanaume atambue akutimizie bila wewe kusema.
Then kuna aina ya wanawake huwa siwapendi I think wewe ni mmoja wao. "Simpendi mwanamke anayetafsiri sexual intercorse kama huduma kwa mwanaume" I truly hate this bad mentality ya wanawake. Mwingine utamsikia yaan hautaki kunihudumia wakati wewe ukija na shida zako mm sikusumbui hakuna kauli mbaya inanitoa kwenye reli kama hili. Watu wamegeuza K zao vyanzo vya kipato ndo utakuta yupo ha idd public ila secretly yupo na hassan, benja, john na mohamet kila mtu anajua yupo permanent na anahudumia kwa nafasi yake. Mwisho wa siku tunaleteana magonjwa tu ama kuuana figo badilika bwana nimeona post zako kadhaa binafsi zinanikera
Hao wanawake wengi wao ni wale waliozaliwa au kukuliwa kwenye umasikiniFigo76 inaelekea wewe ni aina ya wanawake wasumbufu sana kwenye mahusiano. Yaan wewe unawaza kitu akilini mwako unataka mwanaume atambue akutimizie bila wewe kusema.
Then kuna aina ya wanawake huwa siwapendi I think wewe ni mmoja wao. "Simpendi mwanamke anayetafsiri sexual intercorse kama huduma kwa mwanaume" I truly hate this bad mentality ya wanawake. Mwingine utamsikia yaan hautaki kunihudumia wakati wewe ukija na shida zako mm sikusumbui hakuna kauli mbaya inanitoa kwenye reli kama hili. Watu wamegeuza K zao vyanzo vya kipato ndo utakuta yupo ha idd public ila secretly yupo na hassan, benja, john na mohamet kila mtu anajua yupo permanent na anahudumia kwa nafasi yake. Mwisho wa siku tunaleteana magonjwa tu ama kuuana figo badilika bwana nimeona post zako kadhaa binafsi zinanikera
Yeye kazi ni kukupa tu UTIHamna lolote .yaani mwanamke yeye ni kutimiziwa tu
Wewe ndo Dinazdaze. Ulibadilisha jina? Na kwa nini?Kucare nini? Achia code hiyo dada. Sema Mwanaume anayehonga, anatuma na ya kutolea pasipo kusubiri kupewa invoice.
Mawazo yako tu. Kuna wanawake humu wanafanya kazi hawategemei kuhongwa namjua mmoja nimejuana naye mda mfupi sanaa hata hatujawahi kuonana ila she is totally different mnaa mnapanga mambo kama upo na mwanume. Ndo mwana jf wa kwanza kujuana naye but she is qute physically and mentallyHulka ya mwanamke ni kupokea, yaani kama ambavyo ukitaka kukojoa anakuambia "kojoa ndani" yaani "nikojolee", anakuwa anapokea waajemi wako, basi na mengine yote anahitaji kupokea.
Trust me, hata kama yupo independent 100%, bado anataka kupewa. Usitoe hitimisho wakati hata kumjua hujamjua mkuu.Mawazo yako tu. Kuna wanawake humu wanafanya kazi hawategemei kuhongwa namjua mmoja nimejuana naye mda mfupi sanaa hata hatujawahi kuonana ila she is totally different mnaa mnapanga mambo kama upo na mwanume. Ndo mwana jf wa kwanza kujuana naye but she is qute physically and mentally
Point takenHakuna Mwanaume Duniai anaweza kutimiza Matakwa ya Mwanamke....!
Pesa tu ndo angalau inajaribu kidogo.
Mtaka vyote Kwa pupaAnataka mwanaume am-kee ila asimfuatilie nyendo zake,yaani ahongwe kama ni nyimba,gari n.k ila akitaka kugongwa agongwe na bodaboda au fundi gereji.
Kwanini usimchague mmoja?
Kwahiyo hela, handsome, hubby material hamtaki tena...🤨Mamboo
Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa
Mwanaume ambaye anajua kucare
Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Huyo unaemuongelea hapo hayupo[emoji16][emoji16] hata baba yako hakua mtu huyo unae muongelea maana vingine ilibidi umuombe, tena kwa kumkumbusha mara kwa mara, na vingine hakutimiza kabisa![emoji848] Endelea kuota[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mamboo
Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa
Mwanaume ambaye anajua kucare
Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Umegonga mule muleHuyo unaemuongelea hapo hayupo[emoji16][emoji16] hata baba yako hakua mtu huyo unae muongelea maana vingine ilibidi umuombe, tena kwa kumkumbusha mara kwa mara, na vingine hakutimiza kabisa![emoji848] Endelea kuota[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2582949
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app