matokeo.??
Zitto ni makini,shupavu na uwezo wake wa uelewa ni wa hali ya juu,anaweza kujenga hoja na kuwa na strategy zenye kueleweka
2.january Makamba
3.DEO FIRIKUNJOMBE
4.JOHN MNYIKA
5.BARUHANI
6.MHONGA RUHWANYA
7.HALIMA MDEE
8.ESTER BULAYA
9.MOHAMED DEWJI
!0.mwigulu Nchemba
Leo ni tarh 2/6/2012, na kwa serkali ni mwaka mpya 2013.
Naomba upige kura yako kwa kutaja jina la mwanasiasa kijana ambaye ni bora ktk kipindi hiki cha miez 6 (nusu mwaka) mpaka sasa.
Karibu kwa kura maana kura yako itamotivate viongozi kutekeleza majukumu yao na itatoa tathmini ya jinsi wanavyokubalika ktk jamii mpaka sasa.
Januri Makamba
Watake radhi watu wa Mtwara na Lindi uliowatusi. Wana CCM wasiojua kusoma na kuandika unaowajua wewe wapo Mtwara na lindi tu? Si ungewafananisha wana CCM wasiojua kusoma na kuandika wa huko uliko? Pima kabla hujaandika.Jamani Wana CDM ni wagumu kuelewa kuliko ata wale wanaccm walioko kule lindi na mtwara wasiojua kusoma wala kuandika na ndio maana hamtaweza kuchuka nchi hii kamwe labda waTz wote wafe wabakie wachaga ambao ni wakenya we umeambiwa taja mwanasiasa bora kijana 2012 unamtaja Lema nani kakwambia saiv lema ni mwanasiasa wakati hana ata cheo cha ubalozi wa nyumba1 mwenzako mfanyabiashara yule kibaka,mlevi...