MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Godbless Lema
John magali shibuta
Ngongo mwanasiasa bora wa mwaka.
Labda siasa za JF...come in public na utuambie wewe ndio ngongo...Otherwise Lema ni Jembe.
Acha wivu wewe wenzako wote wananikubali Lema nimemwacha mbali sana ha ha ha ha.
Wala cna wivu..tatizo unafanya siasa kwenye laptop yako!!! njoo hapa maji ya chai/User river uitishe mkutano wa hadhara mimi ntakukubali sana kama ukifanya hivyo.
Yale maji yenye fluoride yanaharibu miguu na akili Mkuu Matugusha hilo eneo si zuri kiafya angalia sasa unamshabikia mwanasiasa aliyekataa dhamana bila sababu za msingi,kakesha mochuari akiombea maiti ufufuo,kaandama meya wa jiji aondoke madarakani badala yake kaondoka yeye and lists goes on..............Kwangu Mimi Lema hawezi kuwa mwanasiasa bora kama Lema ni mwanasiasa bora basi Idd Amin alikuwa mwanasiasa bora.
mnyika,lema,mdee,heche,nasari,wenje.:music:
Ndio sabab nili ichukia CCM wameshindwa kutuletea maji safi na salama, Wameweza kutoa maji akeri hadi kambi ya jeshi monduli lakini sisi wananchi wa Tarafa ya King'ori hatuna maji salama kwa miaka hamsini ya uhuru...je ni halali?
We unafura mwanao anaposhindwa kucheka mbele za watu kisa meno yameharibika wakti serikali inatumia hovyo kodi zetu?
Mkuu inauma sana lakini sijui kama unalifahamu hilo.
John mnyika.