Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Hakuna hata mmoja, ndio maana tunaangaika kuulizana.
Wote uliowataja wanajitahidi ila wako chini ya wastani (bellow average)
 
Road mwigulu nchemba,,halafu kwanini wengine umewaita ngumbalu?wewe ni gamba au?kwakufanya hivyo umeharibu kabisa mada yako,usingeegemea upande wowote boya wewe
 
zamani ni ipi hiyo ? na kwa sasa ana shida gani

Kwa sasa ni mnafiq, fitna zimemjaa, mwongo, dhulumati, tapeli, msaliti, mpenda vihela hela, mpiga propaganda za udini, mpenda mademu(nasikia juzi kachezea kipondo cha haja) Anavuta bangi, mshamba na mwisho, ni mjinga
 
Zitto hawezi kuwa modal wangu kwa sababu hana mchango wowote katika kukijenga chama chake zaidi ya kukibomoa..Kura yangu nampa MNYIKA na LEMA.

Alisha sema akiwekwa nchi yake na chama chake atachagua nchi yake, uko sahihi kwa kua anamchango na maslah mapana ya nchi yake kuliko chama chake. wewe endelea kua mzalendo wa chama chako kuliko nchi yako!!!! hapa lazma mtofautiene hivyo sikushangai
 
Back
Top Bottom