Mwanasheria nguli wa masuala ya Uwekezaji aeleza jinsi Tanzania ilivyopigwa katika mkataba wa Bandari

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,505
51,110
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
 
Hawezi kuwa mtaalamu wa kilakitu, ndio maana anazungukwa na wataalamu. Lakini kama wao ni waty wa kusema ndio kilakitu wanapoteza maana ya kuwepo pale.
Yaani ameshindwa kuona kuwa ndani ya mkataba hakuna ukomo wa mkataba?, yaani kiufupi ni mkataba wa milele?.

Mbona hilo hata watu wasio wanasheria wameliona wao wenyewe tu kabla hata ya kufafanuliwa na wanasheria?
 
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
CCM ndiye adui namba moja wa Tanganyika.

Muungano usioitambua Tanganyika kama nchi huru, hatuutaki
 
Awamu hii ya serikali ni watupu sana kwenye Mambo ya sheria vitu vingi wanavamia kichwa kichwa na pia tunakuomba ewe mama achana na katiba yetu nyie ni dhaifu sana kwenye Mambo ya sheria ona mkataba kama huo mmepigwa hakuna tunachotegemea kwenu

Tayari mmesha feli na nia yenu kwa Tanzania ni mbaya. Tunaomba Mungu atupe kiongozi shupavu na shujaa mwenye Nafsi.

Picha yako ilivyo wekwa pale dubai wajanja tulishajua kuwa tumepigwa
 
Yaani ameshindwa kuona kuwa ndani ya mkataba hakuna ukomo wa mkataba?, yaani kiufupi ni mkataba wa milele?.

Mbona hilo hata watu wasio wanasheria wameliona wao wenyewe tu kabla hata ya kufafanuliwa na wanasheria?
Alafu hawa pimbi ndiyo wanataka kubadilisha katiba. Hawajui sheria hawa ni wezi na tamaa zinaongoza Nafsi zao ovu
 
Mwanasheria huyo, amedadavua mambo mengi sana namna nchi itakavyopata hasara kutokana na mkataba huu.

Anasema mambo yafuatayo
1. Mosi mkataba ni kama umeback date, kuiwezesha kampuni kuwa na haki ya kisheria juu ya miradi yote inayoendelea bandarini kabla hata ya mkataba huo kusainiwa

2. Pili anaeleza kuwa huu mkataba hatuna namna ya kuchomoka, maana ni mkataba wa "AHADI" ya kutekeleza mkataba, yaani ni Lazima tutekeleze tu tutake tusitake, tusipotekeleza wanaweza kutushitaki kulipwa damages.

3. Mkataba unatoa exclusive rights kwa kampuni kuendesha BANDARI zote, narudia tena BANDARI zote ( Ukiacha za Zanzibar)

4. Mkataba UNALAZIMISHA tutake tusitake kubadilisha sheria zetu ili ziendane na matakwa ya MUWEKEZAJI. Yaani maana yake, mwekezaji ndo atadetermine future ya sheria zetu kwenye masuala ya bandari zetu zote leo hata dahari.

Hebu msikilize mwanasheria huyu, ameongea vitu deep sana.
View attachment 2650892
Uongo. Mtupu, ni chuki za ubaguzi tu naona Karamagi ksungsna na Sukuma gang kupinga maendeleo.
 
Yaani ameshindwa kuona kuwa ndani ya mkataba hakuna ukomo wa mkataba?, yaani kiufupi ni mkataba wa milele?.

Mbona hilo hata watu wasio wanasheria wameliona wao wenyewe tu kabla hata ya kufafanuliwa na wanasheria?
Mjadala wa huku mtaani unatumia 'collective mind', maelfu ya watu wanasoma na kujadili kwa wakati mmoja, ni rahisi zaidi kuona mapungufu.

Yeye peke yake hawezi kusoma na kuchambua kila kitu, ndio maana ni muhimu kuzungukwa na watu competent unaoweza kuwategemea kukwambia ukweli muda wote, hata kama ukweli huo ni mchungu.
 
Back
Top Bottom