Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,869
- 54,101
Hawezi kuwa CHADEMA huyo. Ni mwehu tuBila shaka we chadema tu
Hawezi kuwa CHADEMA huyo. Ni mwehu tuBila shaka we chadema tu
Kudos. kumbe nchi yetu bado ina watu wenye akili kubwa.Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.
Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.
Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.
USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.
But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.
Relax! We will survive!
Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.
Don't lose hope.
Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
Kwako!
Nisamehewe kwa kuingiza siasa ktk jambo seriously kama hili lakini ukweli na usemwe...akili za hawa vijana/wazee wawili walio mstari wa mbele humu jamvini kuitetea CCM zinaakisi kwanini taifa limekuwa na vision mbaya sana kimaadili,I mean sasa ni rahisi sana mtu kuuwawa ila mamlaka zisichukuwe hatua!Pole sana mkuu ila nina wasi wasi kwenye majibu kama aliwai kufanya mapenzi au lah...
Watoto wa siku hizi wana ingia kwenye ngono mapema sana.....
Huyo ni wazi aliupata kwa ngono.....
Mpeleke aka anzishiwe dawa mapema japo kama alichelewa....
Kwako!
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
big up mkuu.. your optimism natumaini itasaidia.Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.
Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.
Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.
USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.
But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.
Relax! We will survive!
Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.
Don't lose hope.
Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
Pole sana mkuu hakuna mgeni aliyekaa kwako
Nimepata mshtuko sana.
Inawezekana labda alichukua kitu chenye ncha kali alichotumia mwathirika .akatumia.
Si unajua watoto tena.
MUNGU ampe afya njema.
Mkuu yani wala usishangae ni maisha walio chagua kuishi ni haya kuwa wapumbavu kwenye kila jambo kama wanaweza kufurahia kifo cha akwilina kushambuliwa kwa lisu na ni watu ata awajawakosea ata kufurahia matatizo ya mtu yeyote kwao ni sawa tuNisamehewe kwa kuingiza siasa ktk jambo seriously kama hili lakini ukweli na usemwe...akili za hawa vijana/wazee wawili walio mstari wa mbele humu jamvini kuitetea CCM zinaakisi kwanini taifa limekuwa na vision mbaya sana kimaadili,I mean sasa ni rahisi sana mtu kuuwawa ila mamlaka zisichukuwe hatua!
Najaribu kuwaza kama hawa watu wawili wakapewa vitengo vya ku-deal na matatizo hasa ya vifo visivyjulikana kujua vinatokana na nini tutategemea matokeo mazuri kweli zaidi ya kuambiwa majalada yamefungwa?inashangaza mtu anasema mtoto virus kavipata kwa njia ya ngono,hujaona aliposema alishapimwa akajulikana bado yupo clear?hata kama asingesema kiubinadam inafaa nini kusema jambo hili na mtu akiwa ktk huzuni kubwa kiasi hiki?
Mwengine anajibu short cut eti "KWAKO" hivi ana maana gani huyu mtu,kichwa chake mnaweza kukielewa kweli?mtu ana mawazo na huzuni kubwa kwa matatizo yaliyomkuta wajinga kama hawa wanakoment ujinga.
What a shame!!!
Kwanini uwaze njia ya maambukizi ni ngono tu, hufikiri hata saloon hizi za kiume nazo zaweza changia mtu kupata maambukizi?Pole sana mkuu ila nina wasi wasi kwenye majibu kama aliwai kufanya mapenzi au lah...
Watoto wa siku hizi wana ingia kwenye ngono mapema sana.....
Huyo ni wazi aliupata kwa ngono.....
Mpeleke aka anzishiwe dawa mapema japo kama alichelewa....