Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

Pole sana ndugu yangu.hakika huo ni mtihani mkubwa usioelezeka.Mungu akupe uvumilivu mkuu.
 
Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.

Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.

Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.

USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.

But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.

Relax! We will survive!

Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.

Don't lose hope.

Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
Kudos. kumbe nchi yetu bado ina watu wenye akili kubwa.

Sikutegemea kuwa ndani ya JF bado kuna watu kama wewe.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Pole sana mkuu ila nina wasi wasi kwenye majibu kama aliwai kufanya mapenzi au lah...
Watoto wa siku hizi wana ingia kwenye ngono mapema sana.....
Huyo ni wazi aliupata kwa ngono.....
Mpeleke aka anzishiwe dawa mapema japo kama alichelewa....
Nisamehewe kwa kuingiza siasa ktk jambo seriously kama hili lakini ukweli na usemwe...akili za hawa vijana/wazee wawili walio mstari wa mbele humu jamvini kuitetea CCM zinaakisi kwanini taifa limekuwa na vision mbaya sana kimaadili,I mean sasa ni rahisi sana mtu kuuwawa ila mamlaka zisichukuwe hatua!

Najaribu kuwaza kama hawa watu wawili wakapewa vitengo vya ku-deal na matatizo hasa ya vifo visivyjulikana kujua vinatokana na nini tutategemea matokeo mazuri kweli zaidi ya kuambiwa majalada yamefungwa?inashangaza mtu anasema mtoto virus kavipata kwa njia ya ngono,hujaona aliposema alishapimwa akajulikana bado yupo clear?hata kama asingesema kiubinadam inafaa nini kusema jambo hili na mtu akiwa ktk huzuni kubwa kiasi hiki?

Mwengine anajibu short cut eti "KWAKO" hivi ana maana gani huyu mtu,kichwa chake mnaweza kukielewa kweli?mtu ana mawazo na huzuni kubwa kwa matatizo yaliyomkuta wajinga kama hawa wanakoment ujinga.

What a shame!!!
 
Pole sana kaka. Kwa ss wazazi hii taarifa imetugusa naamini kama kuna MTU ana mtoto, pengine ametosha kwenda shule basi atakua ameingiwa na roho ya uoga juu ya mtoto wake kwenda shule,,, kwa jinsi inavyoonekana mwanao atakua amepata ugonjwa huu ktk mazingira ya shule ambako ana spend most of her time na kwa umri huo bado hayuko aware na njia zinaweza kupelekea athari hizo

Piga moyo konde jikaze kiume omba ushirikiano shuleni kwake zungumza na walimu wake hasa mwalimu wa darasa na jaribu kuomba kikao cha wazazi ili jambo hilo lijadiliwe vyema ikiwa ni pamoja na walimu kuongeza umakini hasa ktk watoto walio ktk umri mdogo kama huo
 
Mh! Pole sana Mkuu, kama nakuona kwa jinsi ulivyochanganyikiwa na kuona kama dunia imekuelemea.

Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
 
Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.

Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.

Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.

USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.

But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.

Relax! We will survive!

Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.

Don't lose hope.

Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
big up mkuu.. your optimism natumaini itasaidia.
 
Mie nimeingiwa na simanzi na kunyong’onyea kabisa. Inatisha sana hali hii.

Nimepata mshtuko sana.
Inawezekana labda alichukua kitu chenye ncha kali alichotumia mwathirika .akatumia.
Si unajua watoto tena.
MUNGU ampe afya njema.
 
Nisamehewe kwa kuingiza siasa ktk jambo seriously kama hili lakini ukweli na usemwe...akili za hawa vijana/wazee wawili walio mstari wa mbele humu jamvini kuitetea CCM zinaakisi kwanini taifa limekuwa na vision mbaya sana kimaadili,I mean sasa ni rahisi sana mtu kuuwawa ila mamlaka zisichukuwe hatua!

Najaribu kuwaza kama hawa watu wawili wakapewa vitengo vya ku-deal na matatizo hasa ya vifo visivyjulikana kujua vinatokana na nini tutategemea matokeo mazuri kweli zaidi ya kuambiwa majalada yamefungwa?inashangaza mtu anasema mtoto virus kavipata kwa njia ya ngono,hujaona aliposema alishapimwa akajulikana bado yupo clear?hata kama asingesema kiubinadam inafaa nini kusema jambo hili na mtu akiwa ktk huzuni kubwa kiasi hiki?

Mwengine anajibu short cut eti "KWAKO" hivi ana maana gani huyu mtu,kichwa chake mnaweza kukielewa kweli?mtu ana mawazo na huzuni kubwa kwa matatizo yaliyomkuta wajinga kama hawa wanakoment ujinga.

What a shame!!!
Mkuu yani wala usishangae ni maisha walio chagua kuishi ni haya kuwa wapumbavu kwenye kila jambo kama wanaweza kufurahia kifo cha akwilina kushambuliwa kwa lisu na ni watu ata awajawakosea ata kufurahia matatizo ya mtu yeyote kwao ni sawa tu
 
inauma sana ila atakuwa aliupata shulen, trust me, na yeye hajui kama aliupata shule, kama sio shule basi kwa jirani, na kama una jirani ambae hampatani anaweza kulipiza kupitia kwa mtoto wako.

kijijini kwetu kuna familiya moja mfanyakazi wa kiume wa mashambani alimbaka mtoto wa baba moja tho walithibitisha kuwa mtoto hakubaklwa alijipeleka mwenyewe.

sasa baba yake yule binti akamwambia boss wa huyo mfanyakazi wa kiume kuwa atalipiza mwanae kubakwa na mfanyakazi wake.

huyo mfanyakazi baada ya tukio alitoroka, sasa miaka ikapita kumbe kweli baba wa binti ALITAKA KULIPIZA MWENYEWE, siku ya siku, watoto wa bos wa mfanyakazi walikuwa walishakuwa kama 12yr, kibint kimoja kilikuwa kinapenda kwenda kwa bibi yaani mama yake yule baba aliyebakiwa mtoto, si akamshika yule mtoto kamuingiza chumbani, na ilikuwa inasemekana alikuwa na ukimwi, mungu ni mwema wakati analazimisha kuingiza dudu lake linagoma, kuna mtu alipita akasikia kelele, humo ndani kwa bibi, mtu huyo akagonga, ndo ikawa pona ya mtoto yule .

binadamu sio wema.
 
Ukimwanzishia ART ndio umeharakisha kifo chake...mahospitalini wagonjwa karibia 99% wenye advanced AIDS wapo kwenye ART for years wengi utakuta miaka 5 hadi 10 wakati incubation period ya HIV tunaambiwa ni 10 years ndio mtu anapata AIDS hapo bila kutumia ART lakini uchunguzi wangu binafsi Inaonyesha wagonjwa wenye so called HIV wanakufa mapema baada ya kuanzishiwa ART

My point..ARV kills people While HIV is an innocent
 
Pole sana mkuu ila nina wasi wasi kwenye majibu kama aliwai kufanya mapenzi au lah...
Watoto wa siku hizi wana ingia kwenye ngono mapema sana.....
Huyo ni wazi aliupata kwa ngono.....
Mpeleke aka anzishiwe dawa mapema japo kama alichelewa....
Kwanini uwaze njia ya maambukizi ni ngono tu, hufikiri hata saloon hizi za kiume nazo zaweza changia mtu kupata maambukizi?
 
Back
Top Bottom