Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

Bila shaka wewe ni mfuatiliaji wa tiba za Dr.Sebi. Big up!!.
Ukweli nikwamba kinachowaumiza na kuwapoteza wengi ni vidonge hatari vyenye sumu vya Arv's. Hivi vidonge baada ya kugundulika kwa lengo la kupambana na cancer wakavidirect kama anti retrovial drugs which is killing people more than AIDS itself. Halafu hawajali maan kampuni hizi big pharmas wanapata pesa mno.

"Let food be thy medicine and medicine be thy food"
Hapana wala simfahamu Dr. Sebi ila nimejikuta napenda tiba za asili zaidi kuliko za kisayansi hivyo hua natumia muda mwingi kufanya Research mbali mbali na sijawahi kuangushwa na mimea hata siku moja.
 
kuongezewa damu si lazima wazipime kwanza au?
Ni kweli lazima wapime ila sio mara zote mkuu, nina ndugu yangu aliongezewaga dam mbaya akiwa mdogo.

Pole sana mkuu kwa hili, kwa kweli inasikitisha na kutisha inaonesha ni jinsi gani watoto wetu hawako salama kabisa.

Mungu akupiganie.
 
Hapana wala simfahamu Dr. Sebi ila nimejikuta napenda tiba za asili zaidi kuliko za kisayansi hivyo hua natumia muda mwingi kufanya Research mbali mbali na sijawahi kuangushwa na mimea hata siku moja.

Upo sahihi kabisa. Tiba zote zimetuzunguka, mother nature inakila kitu kwa ajili ya mwili. Madawa yote ya (pharmacy )ndio chanzo cha vifo na kuharibu mwili na kinga yake.
 
Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.

Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.

Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.

USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.

But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.

Relax! We will survive!

Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.

Don't lose hope.

Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
Lo! Good news.. wish niwe hai those years to come
 
Mleta mada, ongea na mwanao kwa taratibu na umwambie athari za kumficha huyo aliyemuambukiza, atakuelewa tu. Usiwe mkali kwake, mpe support kwani wewe ni mzazi wake, you mean a lot to her. Atafunguka tu.
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Mkuu kama mzazi nimeumiaaaa sanaaa mkuuuu
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Pole sana mkuu, ila endelea kufuatilia kimya kimya historia yake ikiwemo school bus isije ikawa karubuniwa kwenye mnyororo huo
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Pole sana ila kumbuka maambukizi ya hiv si kifo,pili kumbuka kuna njia nyingi za kuambukizwa hiv hivyo kwa sasa swala la msingi ni kuendelea kumpa mwanao ARV hadi atakapokuwa na umri wa kuweza kumpa hali halisi ya afya yake,jopeni moyo na songeni mbele
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Dah,itakua alichangia sharp object na wenzie,au aliingiliwa but kinyume,,it is very sad
 
Back
Top Bottom