Mwanangu Kim Jong Un

Mwanangu Kim Jong Un

Mkumbushe pia US alivyotandikwa Vietnam, usisahau kumkumbusha US alivyoaibishwa Somalia mpaka Askari wake wakaliwa maini live na kuburuzwa mitaani mpaka wakakimbia na kuondoa majeshi Yao Somalia.
Hivi unashindwa kusema tu kuwa Mim ni Muislam simpendi Mu-US kuliko kutuandikia uongo... Arabs nations US kamaliza choka mbaya Afghan, Parks, Somalia, Libya, Syria au unajitoa fyuzi Kama Ccm
 
Hivi unashindwa kusema tu kuwa Mim ni Muislam simpendi Mu-US kuliko kutuandikia uongo... Arabs nations US kamaliza choka mbaya Afghan, Parks, Somalia, Libya, Syria au unajitoa fyuzi Kama Ccm

= ndiyo nchi ipi hiyo?
 
Huyo dogo kinachombeba wanaona bado mdogo akili zake bado hazijakua anachukulia mambo kitoto toto....wanamngoja afike angalao aged 45 akiishajua madhara ya vita ndo wamsugue kweli,kwa akili zake anadhani kutumia nuclear bomb ni rahisi huku hajiulizi kitakachoipata nchi yake kutoka kwa mataifa shirika ya taifa atakaloshambulia maana hawatokaa kimya lazima watamshambulia.
Mbona hamtaki kujifunza. Inayojilinda ni NK kupitia NKPA na hii vuta nikuvute kati ya NK na USA ni ya nusu karne sasa. Dogo Kim ni msemaji tu ila katika kujibu shambulizi lolote NK ni moja na hawatasubiri. Sasa huyo USA na akili zake anahangaika nini na nchi ambayo haina mpango nae? Kwa kweli anaetakiwa kufikiria madhara ni USA maana NK atafanya kazi moja kulinda mipaka yake baasi. Ila angalizo kwa SK akae mbali na moto huo
 
Mkumbushe pia US alivyotandikwa Vietnam, usisahau kumkumbusha US alivyoaibishwa Somalia mpaka Askari wake wakaliwa maini live na kuburuzwa mitaani mpaka wakakimbia na kuondoa majeshi yao Somalia.

Mkumbushe pia kichapo wanachokula miaka zaidi kumi huko Afghanistan mpaka wameamua juzi kupiga kombora kubwa sana ambalo halijawahi kutumiwa popote kushambulia majabali.

Wamechanganyikiwa wanapigana na hewa.
Kuna watu wamezoea kukariri tu hawajui lolote kuhusu USA kukung'utwa kwenye vita za Ghuba wala Vietnam

Wao wanachojua ni kwamba kila vita USA lazima ashinde hata kama anapambana na Taifa ngangari...inaonesha hawajui lolote kuhusu historia
 
Tukiwa bado tunaendelea na uchambuzi wa kitisho au kinachoendelea eneo la Asia Pacific kwa US kuivamia kijeshi Korea kaskazini tulisha zungumzia kitisho cha kiuchumi ambapo eneo la Pacific kwa mwaka kuna GDP ya$ 17.1566 Tillion na purchasing power ya 16 ambapo ndio number one ktk wanunuzi wakubwa wa bidhaa kutoka Ulaya na America na kuwa eneo muhimu kibiashara na Uchumi dunia

Leo tutakijita kwenye maswala ya kijeshi baada ya kuona kiuchumi katika uwanja wa mapambano kuna vitengo vitatu ambayo ndio engine ya kushinda vita au kushindwa vitu hvyo ni
1 Intelligence ( ujasusi wa kupata taarifa za kijeshi na Usalama wa adui wako
2Comminication (Mawasilino ndani ya uwanja wa mapambano)
3 Supplying ( Usambazaji wa vifaa,silaha au huduma ndani ya uwanja wa mapambano)

Hivyo ndivyo vitengo vitatu muhimu ndani ya uwanja wa mapambano lakini leo tutakijita kwenye kitengo cha mawasilino duniani kuna aina 5 za mawasilino
1. Optical Communication System
ambayo inabeba mitandao ya kijamii kama JF ,whats app,Facebook,snapchat
2. Radio Communication System
ambayo inabeba mawasiliano ya radio (simu za upepo) na simu za Satellite Phones
3. Duplex communications system
ambayo inabeba mawasiliano ya Telephone,
Mobile, Telegraph ,Fax mfumo huu unakuwa na kitu kinachoitwa Defense Communications System (DCS)
4. Half Duplex Communication System
mfumo huu unadeal na data , na video communication mara nying unatumiwa na watumiaji wa simu za mikononi
5. Tactical Communication System
mfumo huu mara nying unatumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwani unakitu kinachoitwa Voice Communication Control System (VCCS) ambayo unafanya mawasiliano yanakuwa guided

Sasa leo tujikite kwenye Tactical communication systems ambayo vyombo vya Ulinzi na kijeshi wanatumia kutokana na technology ilivyokuwa inaongezeka vifaa vingi sana vya kijeshi vinatumia software au OS (Operating system)
na Duniani kuna OS 3 ambazo ndizo zinarun mfumo mzima wa mawasilino ya computer japo si 100% mifumo hyo ni
1Microsoft windows 83.3%
2MacOS 11.2%
3Linux 1.55%
So ukimpiga jumla unakuta ni 96.05% ndio maana ni kasema si 100%

Uwanja wa mapambano unategemea sana mawasiliano ktk Ops za kushambulia target na vifaa vingi sana vya kijeshi vinatumia software yani kitengo cha mawasilino kipo busy kuliko vitengo vingine vyote threat pekee ni hackers kwa taarifa zilizopo jeshi la korea kaskazini wana kikosi cha kijeshi ambacho ni cyber special force ambacho kazi yao ni kuhack system mbalimbali za kijeshi na mawasiliano ya kijeshi na Usalama pia duniani korea kaskazini ndio nchi pekee yenye Operating system yake yenyewe kule hakuna Microsoft Windows ,MacOS au Linux so kwenye upende wa wao kuwa hacked ni ngumu sana

USA kuna tatizo sana kwenye upande wa NSA ambao kazi yao ni kuhakikisha na kudeal na Cyber threat kwani kumekuwa na matukio ya mashambulizi ya system zaa au mifumo yao na mahackers kutoka Russia , China na Korea kaskazini mifano ni

1 Mwaka 2015 Russian hackers walivamia State Department email system kwa kile kilichojulikana kama “worst ever” cyberattack against a federal agency.
2 Mwaka 2015 Ofisi ya menejimenti ya utumishi wa umma walireport kwa NSA kupotea kwa Americans’ fingerprints milion 5.6 za watumishi wa umma katika kile kilichojulikana kama ilikuwa ni cyberattack.
3 Government Accountability Office (GAO) wamereport kwa NSA kuwa kuanzia mwaka 2015 namba ya mashambulizi ya kimtandao yalipanda kwa 64% kutoka mashambulizi kutoka 5,500 mpaka zaidi ya 77,000 kwa mwaka ni 24 federal agences zilivamiwa
4 Machi mwaka jana hackers wa kutoka China waliendelea kufanya mashambulizi ya kimtandao dhidi ya serikali ya Marekani na mitandao binafsi, kwa mujibu wa U.S.mkuu wa Cyber Command Mike Rogers. China imekuwa ina husishwa na mashirika ya upelelezi ya U.S. kwa kufanya mashambulizi kwa lengo la kuiba taarifa na kuchora ramani katika mitandao muhimu ya kompyuta kwa ajili ya mashambulizi ya baadaye katika mgogoro au vita.

Yapo mengi ya kujadili lakini naomba niishie hapo lakini hii ni moja ya changamoto ktk vita hii ambayo Trump anataka kuanzisha je US wamejiandaa kupigana na jeshi hili la ofisini na silaha zao ni computer tu lakini silaha hizo zenye uwezo wa kulipua mabomu na mifumo yenu palepale Washington DC commands zikitoka Pyongyang kumbuka US anazo silaha za nuclear ambazo nying zinaongozwa kwa mifumo ya computer pia umeme na nishati ya kuendesha mitambo ni computerised je jeshi hili ambalo ni hatari kwa kuhack system mbalimbali za kijeshi na Usalama awawezi kugeuza DC na US kuwa gizani nishati hakuna na je Trump anao watu wa kufanya na kujilinda yakitokea mashambulizi hayo ya mifumo ya kiulinzi na mitambo maana naona National Security Agency (NSA) kama bado kuna tatizo kwani kama uchaguzi tu wahuni wamehack je itakuwa mitandao power systems zinazorun system za nuclear?

Tukipata muda tutakuja kuangalia kitengo cha intelligence kitengo number moja ktk uwanja wa mapambano
Mkuu kula tano na nasubiria muendelezo,hongera sana mkuu.
 
Nazi haiwezi kushindana na Jiwe

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Marekani akiishambulia North Korea ndio itakuwa anguko lake kiuchumi na nguvu za kiushawishi. Pale ni zaidi ya Iraq, Afghan, Libya, Vietnum, Japan ile iliyopigwa nuke. Ule mkwara tu Marekani haiwezi kuivamia NK. Watu wenye akili na uzoefu wa mambo yale wameshaingilia kati kumshawishi mzee yule mwenye nywele kama kuku wa kishingo asifanye balaa hilo. Kwa hakika Marekani atashinda hiyo vita, hilo halina ubishi lakini Japan, na S. Korea itakuwa armageddon/apocalypse yao. Na Marekani kwenyewe itakuwa misiba tupu kila kila mtaa, hili nina uhakika nalo sana. Marekani hajawahi kupigana na adui mwenye nguvu za kijeshi anaefikia 1/3 ya uwezo wake kama hiyu N.Korea.
 
Huyu mkorea watamwua wakorea wenzake maana hakuna mtu anayependa ujinga wake,na safari hii hachomoi
 
Hapana hizo hazitaiwa fact, il mitizamo tu.shart la fact iwe ni ukweli wenyewe kwa kuona ama kushika kabisa.
Ndio maana nikakwambia zinaweza zikawa za ukweli au laa iwapo zitaleta outcomes za ukweli basi zitakuwa ni facts so hisia ni miongini mwa vyanzo vya kutengeneza facts katika mambo mbalimbali
 
huwez shindana na america ukashinda,sahau..israel iko pale watapga kombora moja utakaa chini.
Mkuu nadhan huijui N.Korea, Hao Israel wamefanya operation nchi kibao na kufanikiwa kutoka salama, wamewahi wafuata na kuwadhuru adui zao na kuwashughulikia hadi ndani ya Marekani lakini mimi sijawahi kusikia kama wameshafanikiwa kuingia na kufanya yao ndani ya N.Korea. Kule ni balaa na hakuna wanafiki kama waliopo Ulaya, Afrika, na Uarabuni au China ambao ndio wanatoa siri za ushindi kwa adui. Kule ukiwa mnafiki unatoa siri adhabu ni kifo tu. Huyo dogo Kim wiki chache zilizopita anahisiwa kutuma watu wake kumuua kaka yake ambae alikuwa karibu na wazungu, Kashawanyonga mjomba wake n.k. Marekani hasingeshinda vita Iraqi au kule Afghan na kumuuwa Ghadafi bila kupata wenyeji wanafiki.
 
Mkuu nadhan huijui N.Korea, Hao Israel wamefanya operation nchi kibao na kufanikiwa kutoka salama, wamewahi wafuata na kuwadhuru adui zao na kuwashughulikia hadi ndani ya Marekani lakini mimi sijawahi kusikia kama wameshafanikiwa kuingia na kufanya yao ndani ya N.Korea. Kule ni balaa na hakuna wanafiki kama waliopo Ulaya, Afrika, na Uarabuni au China ambao ndio wanatoa siri za ushindi kwa adui. Kule ukiwa mnafiki unatoa siri adhabu ni kifo tu. Huyo dogo Kim wiki chache zilizopita anahisiwa kutuma watu wake kumuua kaka yake ambae alikuwa karibu na wazungu, Kashawanyonga mjomba wake n.k. Marekani hasingeshinda vita Iraqi au kule Afghan na kumuuwa Ghadafi bila kupata wenyeji wanafiki.
Kwani israel ameishawahi fanikisha kuingia bongo na kufanya chochote??hii ina maana kwamba bongo tuko vyema sana sio???

Watu hawaingii kuchunguza ya huko, vip tunajua sasa kwamba kamuua mjomba wako, kaka yake na anatumia kompyuta zake???
 
Mbona hamsemi ukweli kwani Saddam na Gaddafi walivamiwa na USA mwenyewe
 
Baba yake alipokufa ilichukua siku Tatu duniani kujua tena baada ya wao kutoa taarifa
Hahaha wale jamaa wanaishi kama wapo kwenye machimbo ya Tanzanite Mererani ...yaani ukiwa huko chini hujui kinachoendelea duniani and vise versa is true ....

Wapo kwenye dunia yao ya tofauti kabisa


Ngoja na mimi niungane na mleta mada kumwasa

Chonde chonde kaka yangu ..jana ulifanya jaribio likafeli huenda ni mbinu ya kivita kuwaonyesha Magharibi huna chochote ile wajae kichwa kichwa kitakachofuata ni historia
 
USA haijawahi kushinda nchi ambayo haijapasuka ndani.

Super, tatizo baadhi ya Watanzania hawasomi historia ya nyuma kuhusu mwenendo wa Amerika over the years, unacho sema ni kweli na kweli tupu lakini watu watakubishia tu - tusubiri tuone kama watakuwa na ubavu wa kuishambulia Korea kasikazini nchi yenye mshikamano, wakifanya ujinga wa kuishambilia wata kuwa humiliated kuliko walivyo dhalilika huko VietNam.
 
Back
Top Bottom