Mwanangu Kim Jong Un

Mwanangu Kim Jong Un

Unafanya kosa kubwa kumlinganisha Gadafi, Sadamu Huseini &Co. na Mkorea, hao akina Sadamu ni Waarabu kama sisi Waafrika ingawaje wametuzidi kidogo ambao wana low intelligence, Wakorea ni kundi moja na Wachina, Wajapani, &Co. ni mbegu nyingine kabisa na Mzungu analijua hilo, Wakorea wanaongoza kwa high IQ Duniani hivyo kuwa mwangalifu kidogo hapo kwenye ulinganisho, kumbuka Sadamu Huseini alikutwa na chocolate za mars pmj na hollywood movies made in USA kwenye handaki lake, hata Gadafi pia alikua kutwa nzima yuko na Wazungu mpka walivyo mchenjia, lkn Mkorea (Kaskazini) mpaka operating system ya computer ni ya kwao yaani hatumii microsoft windows au sijui linux bali wana ya kwao wao wenyewe wameunda na siyo ya Mzungu hiyo ni tofauti kubwa sana!

Vifaa vyote vya akina Sadamu Huseini, Gadafi &Co. vilikuwa vinatoka kwa Mzungu hata Ikulu ya Gadafi Mzungu alijenga lkn Korea hakuna kitu kama hicho, Korea is the most secretive country in the world unaambiwa yaani hakuna anayejua kinachoendelea Korea, na isitoshe fikiria tu hakuna nchi inayoruhusiwa kufanya Biashara na Korea lkn angalia mambo wanayoyafanya, linganisha na Zimbabwe, hivyo usisahau hilo na ninakuhakikishia kamwe Mzungu hawezi kuipiga Bomu Korea hilo halitatokea, kwa maana Mkorea ana high IQ!
Mkuu naungana na wewe,leo nilijaribu kugoogle ili kupata ABC za Korea zote yaani ile ya Kusini na Kaskazini.
Nilishangazwa kuona kwamba ni nchi ya KWANZA duniani kuwa na Military Personnel wengi. Kwamba pamoja na kuwa na jeshi kamili la watu kama 1.2million,lakini wapo kwa ujumla wao Million9 ambapo hakuna nchi yoyote duniani ina kiasi hicho.Hivyo pamoja na kwamba US na NATO(maana lazima nae akianzisha US nao NATO waunge mkono) wanaweza kushinda,lakini madhara yatakayopatikana ambayo hayana ulazima yatakua makubwa. Kufananisha Korea na Wanafiki wa Uarabuni ni kuitusi Korea.
 
USA hajawahi kupigana na taifa lenye mshikamano na akashinda .. Yeye huwa akitaka kupigana analigawa kwanza hilo taifa kwa kupandikiza vikundi vya wanamgambo ili kupata urahisi. Kitu ambacho kwa n.Korea hakijafanikiwa...
USA akihichanganya basi huo ndio mwisho wake kuongoza dunia...

Halafu s.Korea na unafiki wake Wa kujipendekeza kwa USA ajiandae kuwa jivu
Aisee. Ila Marekani wapuuzi wacha washikishwe adabu na panki.
 
Tukiwa bado tunaendelea na uchambuzi wa kitisho au kinachoendelea eneo la Asia Pacific kwa US kuivamia kijeshi Korea kaskazini tulisha zungumzia kitisho cha kiuchumi ambapo eneo la Pacific kwa mwaka kuna GDP ya$ 17.1566 Tillion na purchasing power ya 16 ambapo ndio number one ktk wanunuzi wakubwa wa bidhaa kutoka Ulaya na America na kuwa eneo muhimu kibiashara na Uchumi dunia

Leo tutakijita kwenye maswala ya kijeshi baada ya kuona kiuchumi katika uwanja wa mapambano kuna vitengo vitatu ambayo ndio engine ya kushinda vita au kushindwa vitu hvyo ni
1 Intelligence ( ujasusi wa kupata taarifa za kijeshi na Usalama wa adui wako
2Comminication (Mawasilino ndani ya uwanja wa mapambano)
3 Supplying ( Usambazaji wa vifaa,silaha au huduma ndani ya uwanja wa mapambano)

Hivyo ndivyo vitengo vitatu muhimu ndani ya uwanja wa mapambano lakini leo tutakijita kwenye kitengo cha mawasilino duniani kuna aina 5 za mawasilino
1. Optical Communication System
ambayo inabeba mitandao ya kijamii kama JF ,whats app,Facebook,snapchat
2. Radio Communication System
ambayo inabeba mawasiliano ya radio (simu za upepo) na simu za Satellite Phones
3. Duplex communications system
ambayo inabeba mawasiliano ya Telephone,
Mobile, Telegraph ,Fax mfumo huu unakuwa na kitu kinachoitwa Defense Communications System (DCS)
4. Half Duplex Communication System
mfumo huu unadeal na data , na video communication mara nying unatumiwa na watumiaji wa simu za mikononi
5. Tactical Communication System
mfumo huu mara nying unatumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwani unakitu kinachoitwa Voice Communication Control System (VCCS) ambayo unafanya mawasiliano yanakuwa guided

Sasa leo tujikite kwenye Tactical communication systems ambayo vyombo vya Ulinzi na kijeshi wanatumia kutokana na technology ilivyokuwa inaongezeka vifaa vingi sana vya kijeshi vinatumia software au OS (Operating system)
na Duniani kuna OS 3 ambazo ndizo zinarun mfumo mzima wa mawasilino ya computer japo si 100% mifumo hyo ni
1Microsoft windows 83.3%
2MacOS 11.2%
3Linux 1.55%
So ukimpiga jumla unakuta ni 96.05% ndio maana ni kasema si 100%

Uwanja wa mapambano unategemea sana mawasiliano ktk Ops za kushambulia target na vifaa vingi sana vya kijeshi vinatumia software yani kitengo cha mawasilino kipo busy kuliko vitengo vingine vyote threat pekee ni hackers kwa taarifa zilizopo jeshi la korea kaskazini wana kikosi cha kijeshi ambacho ni cyber special force ambacho kazi yao ni kuhack system mbalimbali za kijeshi na mawasiliano ya kijeshi na Usalama pia duniani korea kaskazini ndio nchi pekee yenye Operating system yake yenyewe kule hakuna Microsoft Windows ,MacOS au Linux so kwenye upende wa wao kuwa hacked ni ngumu sana

USA kuna tatizo sana kwenye upande wa NSA ambao kazi yao ni kuhakikisha na kudeal na Cyber threat kwani kumekuwa na matukio ya mashambulizi ya system zaa au mifumo yao na mahackers kutoka Russia , China na Korea kaskazini mifano ni

1 Mwaka 2015 Russian hackers walivamia State Department email system kwa kile kilichojulikana kama “worst ever” cyberattack against a federal agency.
2 Mwaka 2015 Ofisi ya menejimenti ya utumishi wa umma walireport kwa NSA kupotea kwa Americans’ fingerprints milion 5.6 za watumishi wa umma katika kile kilichojulikana kama ilikuwa ni cyberattack.
3 Government Accountability Office (GAO) wamereport kwa NSA kuwa kuanzia mwaka 2015 namba ya mashambulizi ya kimtandao yalipanda kwa 64% kutoka mashambulizi kutoka 5,500 mpaka zaidi ya 77,000 kwa mwaka ni 24 federal agences zilivamiwa
4 Machi mwaka jana hackers wa kutoka China waliendelea kufanya mashambulizi ya kimtandao dhidi ya serikali ya Marekani na mitandao binafsi, kwa mujibu wa U.S.mkuu wa Cyber Command Mike Rogers. China imekuwa ina husishwa na mashirika ya upelelezi ya U.S. kwa kufanya mashambulizi kwa lengo la kuiba taarifa na kuchora ramani katika mitandao muhimu ya kompyuta kwa ajili ya mashambulizi ya baadaye katika mgogoro au vita.

Yapo mengi ya kujadili lakini naomba niishie hapo lakini hii ni moja ya changamoto ktk vita hii ambayo Trump anataka kuanzisha je US wamejiandaa kupigana na jeshi hili la ofisini na silaha zao ni computer tu lakini silaha hizo zenye uwezo wa kulipua mabomu na mifumo yenu palepale Washington DC commands zikitoka Pyongyang kumbuka US anazo silaha za nuclear ambazo nying zinaongozwa kwa mifumo ya computer pia umeme na nishati ya kuendesha mitambo ni computerised je jeshi hili ambalo ni hatari kwa kuhack system mbalimbali za kijeshi na Usalama awawezi kugeuza DC na US kuwa gizani nishati hakuna na je Trump anao watu wa kufanya na kujilinda yakitokea mashambulizi hayo ya mifumo ya kiulinzi na mitambo maana naona National Security Agency (NSA) kama bado kuna tatizo kwani kama uchaguzi tu wahuni wamehack je itakuwa mitandao power systems zinazorun system za nuclear?

Tukipata muda tutakuja kuangalia kitengo cha intelligence kitengo number moja ktk uwanja wa mapambano
Hili la Korea Kaskazini kuwa mabingwa wa kuingilia mifumo ya Komputa za US nililisikia sana hata BBC walitangaza.Halafu mtu anaandika kufanya comparison eti Korea na Iraq au Libya!
 
Pamoja na kutengwa na Dunia kwa za zaidi ya nusu karne N korea wameweza kuendelea zaidi na zaidi wakorea siyo wanafiki kama WAARABU NA WAAFRIKA ni wazalendo kwa nchi yao leo sisi hapa pamoja na kujitawla lakini tumeshindwa hata kutengeneza sindano tu Kingine mnachosahau Markani na ubabe wake wote hana record nzuri ya kushinda pekee yake Vietnam pamoja na kwamba ilijaribu kugawanyika lakini alipigwa akaamua kusarenda na nchi imesimama mpaka leo hii
 
Hivi unashindwa kusema tu kuwa Mim ni Muislam simpendi Mu-US kuliko kutuandikia uongo... Arabs nations US kamaliza choka mbaya Afghan, Parks, Somalia, Libya, Syria au unajitoa fyuzi Kama Ccm
Uislamu tena unahusikaje kwenye hii mada jamani!
 
niljaribu kuwaza kwa sauti hv ikitokea mmarekani akatumia nguvu kubwa pale vita itakapo anza na n.korea si atawapa nafasi urusi na china baba yao na n.korea kumchapa sasa hapo ndipo atakapo changanyikiwa yani apigane na mtoto n.korea baba urusi ba mdogo china yani arushe makombora nchi tatu kwa pomoja nawenyewe huku wakujibu na kuisogelea marekani Zaidi na atakapo thubutu kurudisha majeshi nyumbni wakapigane na kujilinda Zaidi atakuwa amafanya kosa kubwa mno ataandika historia ya kupigana kwenye ardhi yake mwenyewe akichangiwa na nchi tatu nmewaza tu kwanguvu wataalamu wa mambo ya vita wanisaidie kwa hili
 
Kwani israel ameishawahi fanikisha kuingia bongo na kufanya chochote??hii ina maana kwamba bongo tuko vyema sana sio???

Watu hawaingii kuchunguza ya huko, vip tunajua sasa kwamba kamuua mjomba wako, kaka yake na anatumia kompyuta zake???
Hahaa ...
Mkuu kwani wabongo tumewahi kuwawezesha adui wa israel uwezo wa kumiliki sila za kuwaangamiza waisrael? North Korea amekuwa mshirika mkubwa wa mipango ya silaha za masafa marefu wa baadhi ya nchi adui za Israel mfano Iran. Israel haendi kugombana na mtu bila sababu au kuwa kitisho kwa ustawi wa taifa lao. Sisi sasa tuna ushirika na Israel je N.korea wanaukaribu huo na Israel?
Ni rahisi tu kujua kwamba jamaa wanatumia OS yao, kwa sababu kama hawatumii OS zingine lakini bado wanatengeneza au wanatumia computer tena very sophisticated enough to hack American giant fame like SONY back then 2014, there is no magical formula nor black box theory out of this, we have facts on our plain eyes. Very simple logic will lead to this conclusion. You don't have to send spies to obtain this fact. Tafadhali kusanya taarifa za kutosha unapotaka kutengeneza hoja juu ya habari hizi za uwezo wa kivita au intelligence za N.Korea.

NB: North Korea anajulikana kama msambazaji mkubwa wa silaha za hatari kwa nchi Korofi(kwa mtazamo wa Western Countries) ambazo zinatishia ustawi au uwepo/uhai wa taifa la Israel basi moja kwa moja hao ni adui wa israel. Kanuni ya asili ni hiii "Rafiki wa adui yangu ni adui, na Adui wa rafiki yangu ni Adui na Adui wa Adui yangu ni rafiki yangu"
 
Mfalme ambaye anamyima usingizi US ni Russia.. Vita ya US na Russia ni sawa na Vita ya US vs Rest of the world ..
 
Tukiwa bado tunaendelea na uchambuzi wa kitisho au kinachoendelea eneo la Asia Pacific kwa US kuivamia kijeshi Korea kaskazini tulisha zungumzia kitisho cha kiuchumi ambapo eneo la Pacific kwa mwaka kuna GDP ya$ 17.1566 Tillion na purchasing power ya 16 ambapo ndio number one ktk wanunuzi wakubwa wa bidhaa kutoka Ulaya na America na kuwa eneo muhimu kibiashara na Uchumi dunia

Leo tutakijita kwenye maswala ya kijeshi baada ya kuona kiuchumi katika uwanja wa mapambano kuna vitengo vitatu ambayo ndio engine ya kushinda vita au kushindwa vitu hvyo ni
1 Intelligence ( ujasusi wa kupata taarifa za kijeshi na Usalama wa adui wako
2Comminication (Mawasilino ndani ya uwanja wa mapambano)
3 Supplying ( Usambazaji wa vifaa,silaha au huduma ndani ya uwanja wa mapambano)

Hivyo ndivyo vitengo vitatu muhimu ndani ya uwanja wa mapambano lakini leo tutakijita kwenye kitengo cha mawasilino duniani kuna aina 5 za mawasilino
1. Optical Communication System
ambayo inabeba mitandao ya kijamii kama JF ,whats app,Facebook,snapchat
2. Radio Communication System
ambayo inabeba mawasiliano ya radio (simu za upepo) na simu za Satellite Phones
3. Duplex communications system
ambayo inabeba mawasiliano ya Telephone,
Mobile, Telegraph ,Fax mfumo huu unakuwa na kitu kinachoitwa Defense Communications System (DCS)
4. Half Duplex Communication System
mfumo huu unadeal na data , na video communication mara nying unatumiwa na watumiaji wa simu za mikononi
5. Tactical Communication System
mfumo huu mara nying unatumiwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwani unakitu kinachoitwa Voice Communication Control System (VCCS) ambayo unafanya mawasiliano yanakuwa guided

Sasa leo tujikite kwenye Tactical communication systems ambayo vyombo vya Ulinzi na kijeshi wanatumia kutokana na technology ilivyokuwa inaongezeka vifaa vingi sana vya kijeshi vinatumia software au OS (Operating system)
na Duniani kuna OS 3 ambazo ndizo zinarun mfumo mzima wa mawasilino ya computer japo si 100% mifumo hyo ni
1Microsoft windows 83.3%
2MacOS 11.2%
3Linux 1.55%
So ukimpiga jumla unakuta ni 96.05% ndio maana ni kasema si 100%

Uwanja wa mapambano unategemea sana mawasiliano ktk Ops za kushambulia target na vifaa vingi sana vya kijeshi vinatumia software yani kitengo cha mawasilino kipo busy kuliko vitengo vingine vyote threat pekee ni hackers kwa taarifa zilizopo jeshi la korea kaskazini wana kikosi cha kijeshi ambacho ni cyber special force ambacho kazi yao ni kuhack system mbalimbali za kijeshi na mawasiliano ya kijeshi na Usalama pia duniani korea kaskazini ndio nchi pekee yenye Operating system yake yenyewe kule hakuna Microsoft Windows ,MacOS au Linux so kwenye upende wa wao kuwa hacked ni ngumu sana

USA kuna tatizo sana kwenye upande wa NSA ambao kazi yao ni kuhakikisha na kudeal na Cyber threat kwani kumekuwa na matukio ya mashambulizi ya system zaa au mifumo yao na mahackers kutoka Russia , China na Korea kaskazini mifano ni

1 Mwaka 2015 Russian hackers walivamia State Department email system kwa kile kilichojulikana kama “worst ever” cyberattack against a federal agency.
2 Mwaka 2015 Ofisi ya menejimenti ya utumishi wa umma walireport kwa NSA kupotea kwa Americans’ fingerprints milion 5.6 za watumishi wa umma katika kile kilichojulikana kama ilikuwa ni cyberattack.
3 Government Accountability Office (GAO) wamereport kwa NSA kuwa kuanzia mwaka 2015 namba ya mashambulizi ya kimtandao yalipanda kwa 64% kutoka mashambulizi kutoka 5,500 mpaka zaidi ya 77,000 kwa mwaka ni 24 federal agences zilivamiwa
4 Machi mwaka jana hackers wa kutoka China waliendelea kufanya mashambulizi ya kimtandao dhidi ya serikali ya Marekani na mitandao binafsi, kwa mujibu wa U.S.mkuu wa Cyber Command Mike Rogers. China imekuwa ina husishwa na mashirika ya upelelezi ya U.S. kwa kufanya mashambulizi kwa lengo la kuiba taarifa na kuchora ramani katika mitandao muhimu ya kompyuta kwa ajili ya mashambulizi ya baadaye katika mgogoro au vita.

Yapo mengi ya kujadili lakini naomba niishie hapo lakini hii ni moja ya changamoto ktk vita hii ambayo Trump anataka kuanzisha je US wamejiandaa kupigana na jeshi hili la ofisini na silaha zao ni computer tu lakini silaha hizo zenye uwezo wa kulipua mabomu na mifumo yenu palepale Washington DC commands zikitoka Pyongyang kumbuka US anazo silaha za nuclear ambazo nying zinaongozwa kwa mifumo ya computer pia umeme na nishati ya kuendesha mitambo ni computerised je jeshi hili ambalo ni hatari kwa kuhack system mbalimbali za kijeshi na Usalama awawezi kugeuza DC na US kuwa gizani nishati hakuna na je Trump anao watu wa kufanya na kujilinda yakitokea mashambulizi hayo ya mifumo ya kiulinzi na mitambo maana naona National Security Agency (NSA) kama bado kuna tatizo kwani kama uchaguzi tu wahuni wamehack je itakuwa mitandao power systems zinazorun system za nuclear?

Tukipata muda tutakuja kuangalia kitengo cha intelligence kitengo number moja ktk uwanja wa mapambano
Vitu kama hivi ndio kaka yangu BAK hataki kuvisikia.
 
Wachambuzi wanafiki wa jamii forum muache uongo jamani,hakuna anayeijua USA zaidi ya trump.sasa yeye kashasema kwamba yeye peke ake anaweza kuishuha hiyo Korea,sasa ninyi na uchambuzi wenu butu mnaanza kumbishia???hebu kuweni serious jamani,waacheni wenyewe mahasimu msiwasemee
 
In terms of Cyber arsenal or Cyberwar, Cyber attack and whatever ....The following countries have the most hackers in the world. Top 10

1.China
2.US
3.TURKEY
4.RUSSIA
5.TAIWAN
6.BRAZIL
7.ROMANIA
8.INDIA
9.ITALY
10.HUNGARY
source. Cyware newsletter

According to Infoworld :
Who's the best in Cyberwar? They say the real answer in unknown because to be a good hacker you have to be invisible. The best hacker are the one's we don't see and don't know about. Nchi nyingi Katika Cyber zikudukua zunadakwa Ujue uwezo wa ku-hack ni mdogo mno. But on that case US run on no. 1 sport interms of best Cybersystems.. You won't know how US hacked but you will hear that dozens of Russians catched for hacking..
 
Wachambuzi wanafiki wa jamii forum muache uongo jamani,hakuna anayeijua USA zaidi ya trump.sasa yeye kashasema kwamba yeye peke ake anaweza kuishuha hiyo Korea,sasa ninyi na uchambuzi wenu butu mnaanza kumbishia???hebu kuweni serious jamani,waacheni wenyewe mahasimu msiwasemee
Habari za humu ni za kuvutia njaa wakati mama anapika jikoni.
 
Back
Top Bottom