Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,059
- 11,105
.
Mkuu kwani nimemaliza kuandika? Si kila kitu kinatanuliwa miguu, angalia usitanuliwe na wewe.Sasa unataka tukakushikie miguu? Ukisubiria embe liive wenzako wanalila kwa chumvi
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira mkuu, kumbuka hii story ni ya kusadikika.Mkuu kwani nimemaliza kuandika?Si kila kitu kinatanuliwa miguu,angalia usitanuliwe na wewe.
Sina hasira mkuu,nimekujibu lingana na comment yako.Punguza hasira mkuu, kumbuka hii story ni ya kusadikika.
Tembea uone aisee dunia imebeba mengi.Mama anaunga mkono juhudi za mtoto wake kubakwa! Dunia haitaisha vituko lol!
Kila mtu anatakiwa kujua ya kwamba kutembea na mwanafunzi kisheria ni ubakaji na sasa hivi nimeona mahakama zetu hazina mzahaa hata kidogo kwenye kosa hili ni watu wanafungwa miaka 30 fasta sana halafu kesi za hii issue zinachukua muda mfupi sana. Mimi namwogopa mwanafunzi kuliko nyoka!Tembea uone aisee dunia imebeba mengi.
Sipingani na wewe mkuu,huo ni mtazamo wako, mbona umebeba jazba na makasiriko namna hii? Umesahau hii ni habari ya kusadikika tu relax, pia bado sijamaliza kisa na mkasa utoe hitimisho.Inaonekana kuna Wachaga wapuuzi pamoja na kwamba ni miongoni mwa makabila nayo yaheshimu
Umeshindwa kuwaelimisha jambo?
Huyo mtoto mdogo yupo form2 , ungetwambia umemshauri nini, au mama yake umemshauri vipi
Unaleta uzi kwamba anakupenda mara kopa, Upuuzi gani? Cha msingi zingatia tamaduni na taratibu za kimungu
Ni kweli mkuu,ukitaka ndoto zako zipotee tembea na mwanafunzi halafu ukamatwe ama umpe mimba akutaje,ni hatari sana,yatupasa kua makini mno japo pia naamini kuna kesi zikusingiziwa pia.Kila mtu anatakiwa kujua ya kwamba kutembea na mwanafunzi kisheria ni ubakaji na sasa hivi nimeona mahakama zetu hazina mzahaa hata kidogo kwenye kosa hili ni watu wanafungwa miaka 30 fasta sana halafu kesi za hii issue zinachukua muda mfupi sana. Mimi namwogopa mwanafunzi kuliko nyoka!
Yah!mwana kuli find mwana kuli get.30 years loading ............
Kuwa makini huo moto utakaoenda washa huko lazma arudi na kurudi na huyo kama yuko hivo form two sidhan kama ana akili ya kuhesabu siku zake vzuriYah!mwana kuli find mwana kuli get.
Kinachookoa watu hapa Tanzania na makosa kama haya ni umbumbumbu. Kwenye nchi za wenzetu ukitenda kosa kama hili unaweza hata usishtakiwe na mzazi wa mwanafunzi wala ndugu yake, yaani ni raia mwema anaibuka na kwenda kukufungulia kesi au taasisi za kutetea watoto zinakufa na wewe pamoja na mzazi aliedekeza hayo mazingira. Hata mimi nikiona kuna mtoto amebakwa lazima ninunue hiyo kesi nife na mtu!Ni kweli mkuu,ukitaka ndoto zako zipotee tembea na mwanafunzi halafu ukamatwe ama umpe mimba akutaje,ni hatari sana,yatupasa kua makini mno japo pia naamini kuna kesi zikusingiziwa pia.
Mtu mzima wa miaka 32 anajimwambafy kupendwa na mtoto!Inaonekana kuna Wachaga wapuuzi pamoja na kwamba ni miongoni mwa makabila nayo yaheshimu
Umeshindwa kuwaelimisha jambo?
Huyo mtoto mdogo yupo form2 , ungetwambia umemshauri nini, au mama yake umemshauri vipi
Unaleta uzi kwamba anakupenda mara kopa, Upuuzi gani? Cha msingi zingatia tamaduni na taratibu za kimungu