masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,376
- 19,257
lile swali tunawaulizaga watoto unataka kuwa nani ukiwa mkubwa.
mi siwaulizagi haswa huyu mdogo ana 5yrs wa kike.
nawaachaga tu wa explore wenyewe. Sitaki kumlead mtoto in anyway i provide the best evironment for my kids as possible mengine ata decide mbele.
So huyu mtoto wa kike actually ni kama gifted ...namshukuru Mungu kwa hilo... in every aspect kwa kweli sio darasani tu...she is so talented.
So leo tunafanya homework bila kumuuliza akasema anataka kuwa Youtober(sijui ndo inaandikwa hivi)
nahitaji kumsuport mwanangu hata kwa baadae kidogo au kwa sasa
Nahitaji muongozo wa nini cha kuandaa kufanikisha hicho
kuhusu content anasema ataplay Minecraft (sijui ni game online)..
kaongea mengi mageni kwangu
japo mengine mengi namsikiaga akiongea on a daily basis
lakini pia, she is so money-oriented
Randomly anaweza akakuuliza mko barabarani gari likipita "hivi lile gari ni bei gani"? na pia ana kumbukumbu nzuri sana yaani namuombe Mungu tu wachawi wapite mbali.
so naomba mwenye muongozo aweke hapa
mi siwaulizagi haswa huyu mdogo ana 5yrs wa kike.
nawaachaga tu wa explore wenyewe. Sitaki kumlead mtoto in anyway i provide the best evironment for my kids as possible mengine ata decide mbele.
So huyu mtoto wa kike actually ni kama gifted ...namshukuru Mungu kwa hilo... in every aspect kwa kweli sio darasani tu...she is so talented.
So leo tunafanya homework bila kumuuliza akasema anataka kuwa Youtober(sijui ndo inaandikwa hivi)
nahitaji kumsuport mwanangu hata kwa baadae kidogo au kwa sasa
Nahitaji muongozo wa nini cha kuandaa kufanikisha hicho
kuhusu content anasema ataplay Minecraft (sijui ni game online)..
kaongea mengi mageni kwangu
japo mengine mengi namsikiaga akiongea on a daily basis
lakini pia, she is so money-oriented
Randomly anaweza akakuuliza mko barabarani gari likipita "hivi lile gari ni bei gani"? na pia ana kumbukumbu nzuri sana yaani namuombe Mungu tu wachawi wapite mbali.
so naomba mwenye muongozo aweke hapa