Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

Kuua hizo ni propaganda sababu muda wote alikuwa on spotlight. Alimuua nani? Mtu ambaye muda wote yupo ziarani na ofisini tu. Kama waliua ni subordinates wake labda. Vya kutumbua wote tulishuhudia iwe kwa uonevu au kwa haki ila wote tuliona ila vya kuua siafikiani navyo. Ni propaganda kama zilizotumika kumuua Gadafi Libya.
Lakini huwezi kuwasikia wanasema watu wanaopotea saizi wanapotezwa na Rais Samia lakini wote waliopotea kipindi ya JPM wote alikuwa anawapoteza yeye! This is high level of hypocrisy!
 
Umeamua kufunguka kwa uchjungu mkubwa sana!
Kuna watu wanaamini wakimponda sana JPM ndo watapata amani!
Kinana alipkuwa Mara majuzi hapa alisema siku hizi wanakusanya kodi bila kuumiza watu lakini hakusema kwa nini wanakopa sana na mambo bado magumu!
Hakika walishashindwa na JPM na itabaki hivo duniani na mbinguni!
Yani hii awamu wanajisifia vya uchumi wakati wanapokea mikopo kila kona na wazungu wamefunguka wanatoa hela tu sababu wameona head of state anaingilika. Hata wakitaka kuingiza ajenda zao za kipuuzi zitakubalika tu. Hizi trillions walizomwaga awamu hii zingemkuta hayati yupo hai amini kwamba maendeleo ambayo tungepiga yangekuwa ni mara mbili ya alivyoviacha sasa ubaya walikuwa wanambania hela sababu sera za zao za kipuuzi alikuwa haafikiani nazo esp. ile ya Covid ndio iliwauma sana wazungu.
 
Lakini huwezi kuwasikia wanasema watu wanaopotea saizi wanapotezwa na Rais Samia lakini wote waliopotea kipindi ya JPM wote alikuwa anawapoteza yeye! This is high level of hypocrisy!
Eeh imagine yale ya Ngorongoro sahizi ingekuwa JPM yupo kwenye utawala yangekuwa yasharushwa hadi BBC ila ajabu hutasikia kitu. Watu wanauliwa kama Nguruwe kule and nobody cares.
 
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.

Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.

Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.

View attachment 2973698View attachment 2973699
Kwa jinsi walivyo machawa walitegemea kura zitamwangukia Samia!
 
Sasa kati ya makampuni 176 yaliyokuwa yanatia hasara yakauzwa, na kati ya hayo 5 yanakupa kodi na dividend ya kutosha, kwa nini usiridhike na hayo matano?

Mkapa alikubali kwenye kitabu chake kuwa alikosea kuweka mfumo wa M & E katika kuhakikisha mashirika yanafanya kile kilichokuwa kinafanyika kabla ya kuuzwa.

Lakini hoja ya kuuza mashirika ilikuwa hana nna lazima ayauze tu
You must be stupid.
 
Mimi sio mjinga ndio maana sio supporter wa JPM. Issue hapa sio kura ila ni kutokujua unapigia nini kura. Ni sawa na mtu aseme unaonaje sera ya uchumi ya ACT na CHAUMMA ipi ni bora? Sasa hapo unapigia aina ya uongozi au sera!!

Hapo wengi wanapiga kura wakifikiria utumbuaji, kujenga miundombinu ni sera!! Na ndio hao wajinga nao waongelea hapa.

Lakini sera zingefafanuliwa, ya JPM ni contractual yaani kodi juu, matumizi machache, kuzuia ajira ili kupunguza wage bill, serikali kufanya biashara, unapangwa na serikali kuu n.k

Ila Mama Samia sera yake ni expansionary policy yaani mzunguko wa pesa unaongezwa kupitia matumizi makubwa ya serikali, ajira kuongezwa, sekta binafsi kuhusishwa kwenye kuchochea uchumi, kuruhusu ushindani wa private sector dhidi ya taasisi za serikali na mambo kibao.

Sasa hapa kwa mwenye akili timamu atachagua nini?

Sasa watu wanapigia kura aina ya uongozi sio sera ndio maana nawaona hao ni wajinga tu sababu hawajui wanapigia kura nini.
Na hii unayoipendekeza wewe hapa, ilete watu wapige kura uone hayati anavyowapiga walio hai
 
Jiwe nae alikuwa fisadi tu sema alithibiti Bunge, Mahakama na Vyombo vya habari pamoja na whistleblowers.
Alikuwa fisadi ila je, alisahau wajibu wake kama raisi na kiongozi? Mkapa did the same alijenga mahoteli Dubai na South Africa. Je, hakuwajibika kama raisi?
 
Tangu lini werevu wakawa wengi kuzidi wajinga? Na wajinga wakiamua lao si unajua matokea? Don't play with wajinga ,they don't use brain 😁😁

Nakujibu Kwa kutumia takwimu ndogo tuu,wakati Magufuli anaingia madarakani wastani wa Makusanyo TRA ilikuwa Bilioni 800 Kwa mwezi,Hadi anakufa 2021 wastani ulikuwa 1.5T..sawa na Bilioni 700 Kwa miaka 5.

Samia kutoka 1.5T Hadi 2.2T/M sawa na Bilioni 700 miaka 3.

Bajeti hii inayoendelea Sasa hivi TRA inatarajia kufikisha 2.5T Kwa mwezi na hapo hakuna mradi mkubwa hata mmja wa Magufuli umeanza Kuzalisha ,ni sera za kurudisha Imani Kwa wafanyabiashara zimelwta hela.

Huo ni ushahidi wa kwanza,nikutajie mengine? Tumia brain sio moyo kufanya judgement takwimu zinaongea ila mapenzi ni tofauti na takwimu.Kama unataka mapenzi peleka Kwa.Magu ila kama unataka takwimu Samia is here to stay
Umetumia kanuni gani kuita the rest of Tanzanians wajinga?

You must have a major problem upstairs! Magufuli ndiye aliye introduce EGA na mfumo wa malipo ya control number na makusanyo yalitoka 800B mpaka 1.5T maana kuna hela nyingi ilikuwa inapotea sababu hakukuwa na usimamizi mzuri wa makusanyo.

Kumbuka pia wafanyabiashara ambao walikuwa na cleansheet ndio walikuwa miongoni mwa hio 1.5T maana alifagia wahujumu uchumi kwa kiwango kikubwa na wenye vimeo walisepa.
 
Umetumia kanuni gani kuita the rest of Tanzanians wajinga?

You must have a major problem upstairs! Magufuli ndiye aliye introduce EGA na mfumo wa malipo ya control number na makusanyo yalitoka 800B mpaka 1.5T maana kuna hela nyingi ilikuwa inapotea sababu hakukuwa na usimamizi mzuri wa makusanyo.

Kumbuka pia wafanyabiashara ambao walikuwa na cleansheet ndio walikuwa miongoni mwa hio 1.5T maana alifagia wahujumu uchumi kwa kiwango kikubwa na wenye vimeo walisepa.
Chawa kuu la mama achana nalo mkuu
 
Huna hoja lazima ukimbilie kwenye matusi 😂😂

Narudia kukwambia Samia is way better than Magufuli,nakupa takwimu ndogo tuu hapa 👇View attachment 2973828
Huu uchumi wa porojo ndio hatuuhitaji. Fanya vitu tu watu wataona. Huna haja ya kujaza takwimu za kupika pika data ili uonekane relevant. JPM alifanya yake na tumeyaona, huo uchumi wa kujisifu kujenga vyoo vya mashimo na madarasa hauna mashiko.

Kiufupi kawaida pesa ikiwepo utaona mtu tu anajenga ghorofa na kutembelea range rover na benz. Sio kuringishia vyeti vya Wales University ili aonekane msomi.
 
Huu uchumi wa porojo ndio hatuuhitaji. Fanya vitu tu watu wataona. Huna haja ya kujaza takwimu za kupika pika data ili uonekane relevant. JPM alifanya yake na tumeyaona, huo uchumi wa kujisifu kujenga vyoo vya mashimo na madarasa hauna mashiko.

Kiufupi kawaida pesa ikiwepo utaona mtu tu anajenga ghorofa na kutembelea range rover na benz. Sio kuringishia vyeti vya Wales University ili aonekane msomi.
Porojo zipi wewe pimbi? Kwani wewe huoni? 😂😂
 
Umetumia kanuni gani kuita the rest of Tanzanians wajinga?

You must have a major problem upstairs! Magufuli ndiye aliye introduce EGA na mfumo wa malipo ya control number na makusanyo yalitoka 800B mpaka 1.5T maana kuna hela nyingi ilikuwa inapotea sababu hakukuwa na usimamizi mzuri wa makusanyo.

Kumbuka pia wafanyabiashara ambao walikuwa na cleansheet ndio walikuwa miongoni mwa hio 1.5T maana alifagia wahujumu uchumi kwa kiwango kikubwa na wenye vimeo walisepa.
Sasa linganisha bln 700 Kwa miaka 3 vs Bilioni 700 miaka 5.. Maneno mengi sana ila takwimu zinawakataa.

Mnapora watu pesa unaleta stori za ega 😁😁

Na hakika hata tukilinganisha na JK lazima atamzidia Mwendazake bila hata hizo ega na porojo zingine 😂😂
 
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.

Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.

Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhi😂.

View attachment 2973698View attachment 2973699
Aisee! Nimecheka sana. Wajinga wameshatishwa na mamlaka tayari. Wamefata mkia kama Mbwa Koko. Ila Siwalumu. Machawa wa Samia wako kazini.
 
Wewe uko kwenye payroll, hii nchi sio ya kikundi cha wezi na wahujumu uchumi wasiozidi hata million 3 ya whole population.

There is about 58 million lives for fvcks sake who also need to live a good life with atleast attaining 50% life standard of the 3 million segment. Do you really think this kind of leadership will lead us there?

Regardless of the fvcked up Constitution and the gluttons that feed on the national bread and butter most of us yearn for a President that will give a shiyt about the godamn residents at large. A president that not only clings to a Cartel of gangsters that co-operate to steal the governments hard earned money backed up by Statutory Taxes that are collected through the citizens or other government agencies and authorities.

For the clarity, we don't have that kind of President for now, just to be precise. Sorry but i gotta to tell you this, its going to be really hard for you and your fellow motherfvckers to win peoples hearts especially the oppressed. You still have cards for the 3% rich society tho!!!
Payroll ipi Sasa Mimi nalima mahindi huku Mpimbwe na tunauza.kwa bei nzuri ya Samia.

Yaani unanilazimisha nimpambe mtu ambae hakuwa na Msaada Kwangu?

Mwisho usipotoka Wala kupata kazi awamu ya Mama hesabu hasara maana watakuja wapuuzi wengine kutoka hiyo dini yenu ya kitapeli kuharibu maisha ,subiria Samia atoke utaona.
 
Kwahio kumbe unatetea sababu uko kwenye advantage bila kujali kwamba kuna wengine ambao hawauzi nafaka ila wanaumizwa na utawala uliopo usiojali raia masikini. Now I get it!!!
Mimi na Biashara zangu za mazao saizi tuna uhakika wa kuuza Kwa NMC maana Serikali ya mama inanunua na pesa tunapata sio kama awamu ya Magufuli 😂😂

Wasimulieni wajinga wenzenu kwamba Hali ya Uchumi wa mama ni mbaya kuliko Kwa Magufuli 🤣🤣
 
Mshono upi anaoupiga km matokeo madogo tu ya kigazeti yanawatoa jasho mpka yanarudishwa yakahaririwe??? Acheni kujidai mbuni🤣
Huo huo niliokuonesha hapo Juu, Magufuli alishindwa alikuwa anasingizia Sgr 🤣🤣

Nyie wajinga Mimi hamnisezi maana nakupeni facts nyie mnaleta tantalila 😁😁
 
Payroll ipi Sasa Mimi nalima mahindi huku Mpimbwe na tunauza.kwa bei nzuri ya Samia.

Yaani unanilazimisha nimpambe mtu ambae hakuwa na Msaada Kwangu?

Mwisho usipotoka Wala kupata kazi awamu ya Mama hesabu hasara maana watakuja wapuuzi wengine kutoka hiyo dini yenu ya kitapeli kuharibu maisha ,subiria Samia atoke utaona.
Mkuu huna baya, hapa sahizi nimeelewa kwanini unapambania kombe 😁
 
Sasa linganisha bln 700 Kwa miaka 3 vs Bilioni 700 miaka 5.. Maneno mengi sana ila takwimu zinawakataa.

Mnapora watu pesa unaleta stori za ega 😁😁

Na hakika hata tukilinganisha na JK lazima atamzidia Mwendazake bila hata hizo ega na porojo zingine 😂😂
Kina nani wameporwa?


Taja kwa majina yao hapa kama wewe kweli si roboti
 
Back
Top Bottom