CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,915
- 3,475
Hakiishi.Maisha mafupi haya......
Dawa ni kutowaza mwenzio anafanyia nini kifanyio chake....
Afterall kwani kinaisha??????
Hakiishi.Maisha mafupi haya......
Dawa ni kutowaza mwenzio anafanyia nini kifanyio chake....
Afterall kwani kinaisha??????
Maisha mafupi haya......
Dawa ni kutowaza mwenzio anafanyia nini kifanyio chake....
Afterall kwani kinaisha??????


umetishaIpo namna mbali mbali mmojawapo ni ya kuua, na hii ya kuua ni real kuna episode ntashare na members humu. Kama unahitaji familia na kama ni mtu wa revenge katika maisha unaua tu haijalishi lini ila wewe ukipanga kisasi cha kuua unaua tu, unaemjua na usiemjue unaua wote. It's tricky but inataka sacrifice.Wakuu,
Suala la wanaume kupigiwa wake zao limetia fora sana.
Case zimekua nyingi kiasi cha kuwatisha hata wale ambao hawajaoa kuogopa kuoa.
Wapo wanaume wanapiga show ya maana kwa wake zao, wanatoa matumizi yote kwa kwa wake zao.. Yaani wanawapa wake zao everything lakini bado wanapigiwa wake zao.
Je kuna mbinu ya kuzuia mwanamume asipigiwe mkewe kabisa?
Tiririka tujifunze
Usailiti wa kutombewa mke huitaji kujilaumu kamwe. Watu wanafanya wakiwa na akili timamu.Tunakosea kwenye kutafuta wengi wanao oa wanaangalia shape sura chura rangi bila kujua kwamba watu Kama hao wana uhitaji mkubwa sana kwa mabaharia hasa mijini
Duu hv ulibakishiwa hata ukoko wa Ubongo????Raha ya mke muwe mnatomba wengi,
Mke mbaya mbaya ndiyo utatomba peke yako
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app
Hali hiyo huanzia mbali sana!
Yani inasikitisha kwenye jamii kuona mke wa mtu au mume wa mtu kuwa na mahusiano ya kingono na mtu mwingine!
Yani inatia huruma sana!
Yani kuna wanawake wana wanaume michepuko ya kudumu kama ni sehemu ya kazi jamii husika inajua!
Wacha wale wa day workers wa night free!
Unakuta mke wa mtu au mume wa mtu anenda Dubai kula bata na hawara yake!
Mimi huwa nawaulizaga huwa mnawaagaje waume zenu au wake zenu?
Aisee inasikitisha sana !
Unamfanya mumeo au mkeo adhaurike na umalaya wako jamani!
Tujitafakali tuache mabaya!
bora wachape tu cwezi kujitangazia ngoma kisa kuzuia mwili wa mtuBora kuchapiwa au kufanya propaganda ya CV yako?
Kwangu ni bora kudanganya..
Nibaki salama
Kweli kabisa, na nafikiri wapo wachache. Kumpata anayejiheshimu ni ngumu.Haya yote nimeyafanya kwa mchumba wangu
Ila niliposhika simu yake sikuamini
So sio guarantee,Kikubwa tu kama alivoandika mdau hapo juu ni kutafuta mtu ambae hana hulka ya umalaya
"A woman’s capacity to bond monogamously is inversely proportionate to the number of sexual partners she’s experienced prior to monogamy. Even one prior lover (or even unrequited obsession of hers) can be Alpha enough to upset that bonded monogamous balance." - Book 3, RMHao walio oa bikra ndo wanachapiwa hatari. Wanawake hawajawai kueleweka kaka.
Au nasema uongo ndugu zangu??
Bwana asipolinda mji alindae akesha bure, ndoa yako ikabidhi mikononi mwa Bwana hutopigiwa mke wako.... Japo wanasema et mwanamke ni kam mlango lazima ugongewe haipo hiyo.Wakuu,
Suala la wanaume kupigiwa wake zao limetia fora sana.
Case zimekua nyingi kiasi cha kuwatisha hata wale ambao hawajaoa kuogopa kuoa.
Wapo wanaume wanapiga show ya maana kwa wake zao, wanatoa matumizi yote kwa kwa wake zao.. Yaani wanawapa wake zao everything lakini bado wanapigiwa wake zao.
Je kuna mbinu ya kuzuia mwanamume asipigiwe mkewe kabisa?
Tiririka tujifunze
Kwani kujitangaza kunakuathiri vipi na wewe huna HIV?bora wachape tu cwezi kujitangazia ngoma kisa kuzuia mwili wa mtu
Tatizo hua linakuja , kila siku kula ubwabwa na maharagwe pasipo kubadilishaWakuu,
Suala la wanaume kupigiwa wake zao limetia fora sana.
Case zimekua nyingi kiasi cha kuwatisha hata wale ambao hawajaoa kuogopa kuoa.
Wapo wanaume wanapiga show ya maana kwa wake zao, wanatoa matumizi yote kwa kwa wake zao.. Yaani wanawapa wake zao everything lakini bado wanapigiwa wake zao.
Je kuna mbinu ya kuzuia mwanamume asipigiwe mkewe kabisa?
Tiririka tujifunze
Ajitahidi kadri awezavyo asioe malaya.
Asitafute mwanamke ambaye yupo perfect ila atafute mwanamke ambaye umalaya sio asili yake...
Kwenye process ya kutafuta huyo mwanamke atakutana na viburi wachoyo wachafu wakorofi lakini yeye achague wenyewe madhaifu mengine na sio malaya....

