Mwanamume afanyeje asipigiwe mkewe?

Mwanamume afanyeje asipigiwe mkewe?

Labda vipi kuhusu mwanaume,yeye iweje ili asiweze kuchepuka.maana hilo tatizo siyo la wanawake tuu,hata wanaume vicheche wapo.

Ni hulka inayoambatana na vifungo flan hiv. so inakuwa kama kiu ya sigara ukishaanza kuvuta kuacha ni taabu.Tuendelee kumuomba mwenyezi Mungu aingilie kati kulinda ndoa
Amen mkuu
 
Wakuu,

Suala la wanaume kupigiwa wake zao limetia fora sana.

Case zimekua nyingi kiasi cha kuwatisha hata wale ambao hawajaoa kuogopa kuoa.

Wapo wanaume wanapiga show ya maana kwa wake zao, wanatoa matumizi yote kwa kwa wake zao.. Yaani wanawapa wake zao everything lakini bado wanapigiwa wake zao.

Je kuna mbinu ya kuzuia mwanamume asipigiwe mkewe kabisa?

Tiririka tujifunze
......au nasema uongo ndugu zangu.....
Haya;
Nipeni Gwajima
Nipeni Gwajima
Nipeni Gwajima
Nipeni Gwajima
 
Ukigongewa tafuta na ww nyonge umgongee, inapunguza maumivu
 
Inategemea na ulivyo.
Binafsi wangu hawezi hata kuwaza kuchepuka
Kwa sababu ananijua vyema na kingine ni wewe mwanaume kutengeneza mazingira mazuri ya mwanamke kuishi kiasi ya yeye akifikiri kuchepuka anawaza jinsi atakavyo haribu uhusiano wenu na kama mpo na watoto pia.

Mwanamke anahitaji upendo sana.
Anahitaji ukorofi sana
Anahitaji kichapo kwa kiasi
Anahitaji azibuliwe sikio la tatu.

Na usipende kumpa kila kitu unajidanganya .
Msimamie kwa kila jambo,mfanye mtoto kwako
Muulize kila kitu


Na ukitaka atulie zaidi kuwa na kipindi cha umbea na mastory either ya kazini or mtaani.

Sometimes unambadilikia kisawasawa mpaka anawaza leo naweza chinjwa huku ndani.

Ni mengine mengi.
 
🎵🎵Malighafi ya suruali sio boxer,
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa🎵🎵🎵
 
Back
Top Bottom