Mpende sana
Kuwa muwazi kwake
Mfanye rafiki yako wa ukweli
Mpe muda wako
Na usimsaliti
vingine vyote ivyo naweza kufanya isipokuwa hapo kwenye kumpenda sana hapo niache unafiki sijajaliwa na mungu kupenda kwa kweliMpende sana
Kuwa muwazi kwake
Mfanye rafiki yako wa ukweli
Mpe muda wako
Na usimsaliti
, naeza ishi nae vizuri tu akazani nimekufa nimeoza kumbe moyoni yuko 20%yani unaharibu cv yako mtaani kisa asigongwe tu?Tengeneza propaganda umeathirika kwa HIV wewe na.mkeo,,
Hapo ataogopwa kama ukoma.
Simple, hakikisha unaoa ukiwa na umri zaidi ya 35 na mke wako si chini ya 30 yearsWakuu,
Suala la wanaume kupigiwa wake zao limetia fora sana.
Case zimekua nyingi kiasi cha kuwatisha hata wale ambao hawajaoa kuogopa kuoa.
Wapo wanaume wanapiga show ya maana kwa wake zao, wanatoa matumizi yote kwa kwa wake zao.. Yaani wanawapa wake zao everything lakini bado wanapigiwa wake zao.
Je kuna mbinu ya kuzuia mwanamume asipigiwe mkewe kabisa?
Tiririka tujifunze
Bora kuchapiwa au kufanya propaganda ya CV yako?yani unaharibu cv yako mtaani kisa asigongwe tu?
Eeeh akampe mizizi ya kumdhibiti mkeSangoma tena![]()
Acheni ubinafsi, kizuri kula na nduguyo.
😂😂😂😂😂😂Tengeneza propaganda umeathirika kwa HIV wewe na.mkeo,,
Hapo ataogopwa kama ukoma.
😂😂😂😂Tengeneza propaganda umeathirika kwa HIV wewe na.mkeo,,
Hapo ataogopwa kama ukoma.