Mwanamme mbahili pia mchoyo

Mwanamme mbahili pia mchoyo

Hebu muulize siku ya kwanza kuvua chupi alipewa hela au alikuwa ameshapewa vihela hela ndo akavua, maana kama uliamua kumuvulia chupi mwanaume hata hujakula hela yake yoyote usitegemee baadae atakupa hela, tayari atakuchukulia kiurahsi sana. Sawa hauuzi lakini anatakiwa akujali maana kama hata nauli hakupi kwanza kwanini asikupeleke na gari yake mpaka kwako, huyo atakuwa mme wa mtu anakutumia kama chombo cha starehe kwa taarifa yako anampenda na kumuheshimu mke wake hataki mke wake ajue anacheat. kuna mapenzi ambayo huwa ni just for fun hayana future yaani mnafanya kama sehemu ya mazoezi ili kuchangamsha mwili na kuondoa stress za maisha ndo unatakiwa umchukulie hivyo huyo sio mpenzi wako, inawezekana hata kuwasiliana mnawasiliana siku anataka k yako baada ya hapo no communication
 
team money mongers, hivi huwa hampati hamu ya kugegedwa tu mpenzi wako, au nyege zenu ni mpka uone wallet ilojaa wekundu.
 
wewe una miaka mingapi? mbona unayoyasema ya ajabu...nina wasiwasi na uelewa wako!!!

unadhani hata wadogo kiumri, ni wasomi wazuri tu waliofaulu na GPA>4.5, lakini ndo hivyo,wamekaa kibiashara ashara tu, yaani utakuta mtu anadharirishwa na mwanaume kisa tu huwa anahongwa hela, ninao mashosti wawili hapa ofisini yaani hata sielewi kwa kweli, maongezi yao 24/7 ni kuchuna, umbea nk, basi utakuta mtu anabadilisha mabwana kisa anataka kuhongwa, sijui ndo wanaita kujaliwa.
 
Smile kila wakati unaniwahi kutoa jibu.

Ila we dada jiulize tu:

Hasara yake hasara yako?

Kwa nini usiamue tu kumnyima?

Hakika sitapata cancer kwa kutosafisha kwa siku mbli au tatu , nataka nimpe karaha aone radha ya uchafu na kibuti juu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mi niko powa mpendwa..unajua best love is giving lakini tunashindwa kutambua when to give and why.

Mimi mpenzi wangu akinizawadia au akinipa chochote km zawadi au pesa kidogo huwa nafurahi sbb hata mimi sometime humpa pia naye hufurahi.

But sijawah kuweka hii kitu as a must kwamba ni mkataba lazima anipe na kwamba asiponipa basi hanipendi au ananitumia. Na i hate depending on somone, so i work hard to at least have of my own kuogopa kuwa ombaomba. Niweze kujipatia mahitaji yangu ya muhimu yote ili nikipewa, nisipopewa bado maisha yangu yataendelea vema

But in genuine problem where i need help sisiti kumwambia nina shida flani help me with this amount or whatever i may need, kama hana au hawezi kunisaidia kwa wakati huo pia siwezi chukia sbb sijahudumiwa, Na hata kama anazo ameninyima kwa makusudi bado ilikuwa hiyari yake kunipa, it is not a must.

Kumpa mwanamke hela kila siyo kipimo cha kuonyesha unampenda, kuna mengine meengi sana ndani yake.

Though mwanamume kumzawadia mwanamke anything hata cha gharama ndogo tu inafariji sana, It nature, ndivyo tulivyoumbwa....mwanaume mwenye mapenzi ya kweli na wa ukweli unawiwa tu kumzawadia mkeo au mpenzio hata BIG G tu.

Ni wakawake wachache wenye akili kama ya kwako maana wengi hufikiri wanaume ni ATM au vyovyote vile. Kiukweli umetisha sana katika comment yako.
 
Mkuu KOKUTONA Nakushauri usipende sana kuingia ndani ya jukwaa hili lenye mijadala ya BIASHARA ya NGONO! Tamaa si nzuri
 
Last edited by a moderator:
wewe unataka haribu mahusiano ya rafiki yako kwa sababu ya utashi wako...umesema hapo juu kuwa mapenzi si pesa ni kujaliana sasa mbona maada yako inazungumzia pesa?...kama kujaliana kuna ubaya gani akimpigia? huyo rafiki yako kashawahi mpa shilingi ngapi huyo jamaa???

Labda hii inawork kwenu maponjoro, ila kwa mswahili kama mie nitaenjoy zaidi kama mume/mchumba/bwana aknihudumia kwa vitu vidogovidogo wala asitumie pesa nyingi. Just vocha, naulinauli hivi, anisaidie nimeintain uzuri & utamu wangu :frusty:
 
Mkuu KOKUTONA Nakushauri usipende sana kuingia ndani ya jukwaa hili lenye mijadala ya BIASHARA ya NGONO! Tamaa si nzuri

Sijajua kwanini umeniambia hivyo au kunipa ushauri huo. Na sikuwahi kujua kama jukwaa hili kuna bishara ya ngono. What i know mambo yanayoandikwa kwenye post hizi yanatokea katika maisha yetu na vile vile kwa kusoma post za watu ni vingi una gain na i always take vile vinavyojenga na si kubomoa.

By the way...sina tamaa sababu najitafutia mwenyewe na sina hulka ya kumtegemea mtu au kutamani kilicho juu ya uwezo wangu..

Thanks for your advice though
 
Kama shostito ulikuwa hujui kuwa wanaume wa siku hizi ni wabahiri na wachoyo waliopindukia ndo ujue leo hawana lolote si chochote ni bor akuachana nao kabisa ujisepe kimpango wako kivyakovyako
rafiki yangu anaomba ushauri.
Ni msichana wa miaka 28 mzuri wa tabia, ana mvuto, wife material, mrembo, mchakarikaji wa maisha. Ana mchumba wake wa miaka miwili sasa. Mchumba huyo hamjali binti kwa lolote i mean saloon, sio vocha, nguo wala hajawahi kumnunulia hata zawadi yoyote zaidi ya kumpa mapenzi tu. Yaani pesa ya jamaa haitoki mpaka siku akitaka 'k' tu! Siku hiyo jamaa yuko tayari kulipia hotel na chakula kisha huyooo hata nauli ya kumrudisha binti nyumbani anajitegemea. Pia anasema mwanamme ana pesa na ni mfanyabiashara mkubwa tu. Shostito anamshangaa jamaa anamwambia anataka kumuoa na ana wivu wa kupindukia, na hataki ampe mtu yeyote 'k' anayoigegeda yeye. Shoga anaomba ushauri afanyeje? Je wanaume wote wako hivo?
 
Kama shostito ulikuwa hujui kuwa wanaume wa siku hizi ni wabahiri na wachoyo waliopindukia ndo ujue leo hawana lolote si chochote ni bor akuachana nao kabisa ujisepe kimpango wako kivyakovyako

mweh! utaweza kimpango wako kivyakovyako, nani atakukuna papuchi yako? mtatutafuta tu!
 
huyu ndio mwanaume kamili pesa inatoka kwa mgegedo tuu...leta papuchi ndio nahudumia. hayo mambo ya salon kwako mwenyewe.

alafu yeye mwenyewe kajirahisisha miaka miwili ndii leo anaomba ushauri...loh!!! kakaa kimgegedo ndio maana jamaa anamtreat hivyo.

yeye kamuona mzuri bila saloon sasa ampe hela ya nini. Mambo ya kusimuliana haya ooh bwana wangu ananipa hiki mara rafikiyo kabebwa.
 
Unapodai kama ulizikopesha au kama umeuza bidhaa ndio unakuwa umeonyesha tabia yako wewe ni nani... Ndio maana pesa yenyewe anapewa siku ya game tuu, hashangai??? Ukideserve lazima mwanaume awajibike trust me.

Well said
 
Trust me ukiwa humuhudumii mchumba or girlfriend, itakula kwako lazima utakuwa na mwenza carering man! na kama hutumii kinga wenzako watakupandisha kwenye nguzo ya umeme. think twice baby
dah!umeona ee,,ntakaaje na hlo tu ambalo halihudumii,,lazma ajue kwamba kuna mwenzie anaemsaidia hayo majukumu
 
Back
Top Bottom