miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Huyo mwanaume hafai hata kwa matumizi ya baadae, kumpa hela mpenzi wako sio kwamba anakuuzia papuchi ni moja ya njia ya kumuonesha kuwa unamjali,,, hilo dume alikujali banaa yeye linajali papuchi tu achana nae fasta mwambie akanunue hukoo kwa wanaoziuza!
Ndo maana yake.....yaani wanaume wengine wanapenda kujiita kichwa lakin majukumu madogo madogo wanayakimbia.