Mi niko powa mpendwa..unajua best love is giving lakini tunashindwa kutambua when to give and why.
Mimi mpenzi wangu akinizawadia au akinipa chochote km zawadi au pesa kidogo huwa nafurahi sbb hata mimi sometime humpa pia naye hufurahi.
But sijawah kuweka hii kitu as a must kwamba ni mkataba lazima anipe na kwamba asiponipa basi hanipendi au ananitumia. Na i hate depending on somone, so i work hard to at least have of my own kuogopa kuwa ombaomba. Niweze kujipatia mahitaji yangu ya muhimu yote ili nikipewa, nisipopewa bado maisha yangu yataendelea vema
But in genuine problem where i need help sisiti kumwambia nina shida flani help me with this amount or whatever i may need, kama hana au hawezi kunisaidia kwa wakati huo pia siwezi chukia sbb sijahudumiwa, Na hata kama anazo ameninyima kwa makusudi bado ilikuwa hiyari yake kunipa, it is not a must.
Kumpa mwanamke hela kila siyo kipimo cha kuonyesha unampenda, kuna mengine meengi sana ndani yake.
Though mwanamume kumzawadia mwanamke anything hata cha gharama ndogo tu inafariji sana, It nature, ndivyo tulivyoumbwa....mwanaume mwenye mapenzi ya kweli na wa ukweli unawiwa tu kumzawadia mkeo au mpenzio hata BIG G tu.