Mwanamme mbahili pia mchoyo

Mwanamme mbahili pia mchoyo

Ni wakawake wachache wenye akili kama ya kwako maana wengi hufikiri wanaume ni ATM au vyovyote vile. Kiukweli umetisha sana katika comment yako.

Thanks Mzee wa Rula
Maisha ni lazima kuyafikiria na kuenenda nayo kwa mapana yake. Hasa kwenye swala la mahusiano na pesa.

 
Last edited by a moderator:
Jaman mi napita tu coz hao watu n pasua kchwa tu, mwambie huyo mdada ajshughulishe na yy atafute vyake coz raha c wanapata wote.
 
Khaa! Uyo kazidi ubahili sasa,mwambie shostito apite hiv....., atembee na Yesu
 
Anaweza hata aseme kwanini akuhudumie kama kugegedana starehe si mnapata wote...Jasho lote analolitoa pale kukufikisha loh salaleh :behindsofa:wasn´t me!!!
 
Labda hii inawork kwenu maponjoro, ila kwa mswahili kama mie nitaenjoy zaidi kama mume/mchumba/bwana aknihudumia kwa vitu vidogovidogo wala asitumie pesa nyingi. Just vocha, naulinauli hivi, anisaidie nimeintain uzuri & utamu wangu :frusty:

utamu gani? kama haupo haupo tu...kwa hiyo ambao hawapewi pesa utamu huisha?
mbona jamaa hajampa pesa lakini utamu unazidi kumkolea hadi anatangaza ndoa...usiharibu mapenzi yao,ukiharibu ipo siku utakuja jijutia kwa jambo hilo na utashindwa mtazama rafiki yako kwa macho yakinifu!!!
 
unadhani hata wadogo kiumri, ni wasomi wazuri tu waliofaulu na GPA>4.5, lakini ndo hivyo,wamekaa kibiashara ashara tu, yaani utakuta mtu anadharirishwa na mwanaume kisa tu huwa anahongwa hela, ninao mashosti wawili hapa ofisini yaani hata sielewi kwa kweli, maongezi yao 24/7 ni kuchuna, umbea nk, basi utakuta mtu anabadilisha mabwana kisa anataka kuhongwa, sijui ndo wanaita kujaliwa.

hawajitambui hao...wanaongezeka umri wakati akili iko palepale!!!
maisha haya yalivyo magumu wao wanafikiria kuuza miili? maana mwili uuzwao huchoka...leo sura ina mvuto kesho hata miaka 35 hujafika sura ishazeeka,biashara inakosa mnunuaji...hapo ndipo watakumbuka kujitafutia ni bora kuliko kuwa ombaomba!!!
UMASKINI NI UGONJWA MBAYA SANA...UGONJWA AMBAO HUARIBU UPEO WA KUFIKIRIA,UGONJWA AMBAO HUWAFANYA WATU WAZIMA KUPOTEZA UWEZO WA KUJIAMINI NA KUJITEGEMEA!!!
 
Hebu muulize siku ya kwanza kuvua chupi alipewa hela au alikuwa ameshapewa vihela hela ndo akavua, maana kama uliamua kumuvulia chupi mwanaume hata hujakula hela yake yoyote usitegemee baadae atakupa hela, tayari atakuchukulia kiurahsi sana. Sawa hauuzi lakini anatakiwa akujali maana kama hata nauli hakupi kwanza kwanini asikupeleke na gari yake mpaka kwako, huyo atakuwa mme wa mtu anakutumia kama chombo cha starehe kwa taarifa yako anampenda na kumuheshimu mke wake hataki mke wake ajue anacheat. kuna mapenzi ambayo huwa ni just for fun hayana future yaani mnafanya kama sehemu ya mazoezi ili kuchangamsha mwili na kuondoa stress za maisha ndo unatakiwa umchukulie hivyo huyo sio mpenzi wako, inawezekana hata kuwasiliana mnawasiliana siku anataka k yako baada ya hapo no communication

hapo utakuwa unauza tu...huvui chupi mpaka ushikishwe bunda la hela? umekuwa demu wa ambiansi (kona bar)
 
Bora niliyelundika hela loo, jasho nitoe mm hela ale yeye inakuja kweli?
 
Wala hatakuwa mchoyo...!!!

ni kweli hatokuwa mchoyo bali atakuwa mkweli kwa kujidhihirisha kuwa anauza.Huyu ni bora kuliko wale wanaouza halafu wanaona aibu kusema ni biashara na wasipopewa pesa wanakuja kulalamika huku kwenye mitandao jamii!!!
 
Hakika sitapata cancer kwa kutosafisha kwa siku mbli au tatu , nataka nimpe karaha aone radha ya uchafu na kibuti juu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Umpe karaha au ujidhalililshe kwa uchafu? biashara haiitaji uchafu...angalia utapoteza wateja bure,,,usije sema sikukwambia!!!
USAFI MUHIMU...
 
Rafiki yangu anaomba ushauri.
Ni msichana wa miaka 28 mzuri wa tabia, ana mvuto, wife material, mrembo, mchakarikaji wa maisha. Ana mchumba wake wa miaka miwili sasa. Mchumba huyo hamjali binti kwa lolote i mean Saloon, sio vocha, nguo wala hajawahi kumnunulia hata zawadi yoyote zaidi ya kumpa mapenzi tu. Yaani pesa ya jamaa haitoki mpaka siku akitaka 'K' tu! Siku hiyo jamaa yuko tayari kulipia hotel na chakula kisha huyooo hata nauli ya kumrudisha binti nyumbani anajitegemea. pia anasema mwanamme ana pesa na ni mfanyabiashara mkubwa tu. Shostito anamshangaa jamaa anamwambia anataka kumuoa na ana wivu wa kupindukia, na hataki ampe mtu yeyote 'K' anayoigegeda yeye. Shoga anaomba ushauri afanyeje? je wanaume wote wako hivo?

ya ni kweli wanaume wote wako hivyo
 
niunganishe naye huyu shoga yako,nitampa mahitaji anayoyataka.
Nalog off
 
Huyo mwanamke anataka hela ya nini ilhali kwa sifa ulizotaja hatakiwi kuwa tegemezi?
Hela ya sabuni, hela ya saluni: inamuhusu vp mwanaume? Kwani wakati wa 'mgegedo' si mna-injoi wote? Mwanaume keshajitolea ku-foot gharama za 'kiingilio uwanjani' bado binti analalamika? Mbona mw anaume hadai hela ya nauli,mafuta kwenye gari,sabuni n.k? Na dont mistake 'usimpe mtu mwingine hiyo papuchi' lengo ni kuepuka magonjwa na uchafu si vinginevyo.
Grow up girls! Hyo style town inaitwa 'enjoy at your own cost' kama hutaki unaacha! Mnakera sana,unakuta binti 'hausin' kali ila 'papuchi + kiwango uwanjani' bure,the best she can do is 'sucking'. Why waste a shilling on you? Get lost!
 
Mwanamke ni mwanamke tu hivi kwa nn unapompa penzi mwanamke kifuatacho ni pesa? Raha mmapata wote na hela juu huyo dem naona hana issue kama ana shida amweleze mpenzi wake sidhani km hatoweza kumsaidia na nyie wanawake epukeni kuomba hela au kumset mpenzi wako kwa matatizo yako pindi mnapogegedana atakuona km anakununua vile muombe pesa au msaada muda wowote lkn si wakati au baada ya mgegedo hata wake zetu huwa wanajikuta wanakosea anapose matatizo wakati wa match au baada au wakati wa menyu wanaume wengi hawapendi kila jambo na wakati wake
huko ni kulea ujinga .......,,,,, lol!!! hata nauli hatoi mbona anakutumia vibaya sana huyo???
kimbia hakufai na hawa matajiri inabidi kuwa makini sana smtms wanatumia nyota zetu kwa staili kama hiyo ye anatajirika we uko pale pale!!!!
 
Huyo mwanamke anataka hela ya nini ilhali kwa sifa ulizotaja hatakiwi kuwa tegemezi?
Hela ya sabuni, hela ya saluni: inamuhusu vp mwanaume? Kwani wakati wa 'mgegedo' si mna-injoi wote? Mwanaume keshajitolea ku-foot gharama za 'kiingilio uwanjani' bado binti analalamika? Mbona mw anaume hadai hela ya nauli,mafuta kwenye gari,sabuni n.k? Na dont mistake 'usimpe mtu mwingine hiyo papuchi' lengo ni kuepuka magonjwa na uchafu si vinginevyo.
Grow up girls! Hyo style town inaitwa 'enjoy at your own cost' kama hutaki unaacha! Mnakera sana,unakuta binti 'hausin' kali ila 'papuchi + kiwango uwanjani' bure,the best she can do is 'sucking'. Why waste a shilling on you? Get lost!

Kalagabaho usijejuta siku moja ukamsingizia shetani. Isevu hii thread kama ushahidi
 
Anaweza hata aseme kwanini akuhudumie kama kugegedana starehe si mnapata wote...Jasho lote analolitoa pale kukufikisha loh salaleh :behindsofa:wasn´t me!!!

Na usipofika huko kileleni lazma unune!... then mkimaliza lazma mkono uingie mfukoni! Nauli ya daladala/boda shs. 50, 000. then akienda home analala njaa sababu pesa yote katumia na wewe usiku mmoja tu! Damn it, kuwa mwanaume lazma utoe jasho!..
 
Back
Top Bottom