Mwanamme mbahili pia mchoyo

Mwanamme mbahili pia mchoyo

Mbona unaona huyo mwanaume tu ndo anamtumia vibaya huyo mdada? tinna cute ulitakiwa umwambie kuwa asimtumie huyu mwanaume vibaya. Kwanza kasema ati anapewa tena hela baada ya ku-do. hiyo haki iko wapi jamani? Yeye alikuwa wapi wakati jamaa ana do? Si walikua wana do wote wawili? Kwa nini asimpe huyo jamaa hata mia kama asante kwa kumfikisha kilele??
Huyu mdada hafai kabisa, kwanza hasemi hulipwa ngapi kwa hilo lidhambi analouza, tena anasema jamaa ana wivu, angekuwa na wivu angesha vuta ndani siku nyingi. Ana mbabaisha tu hata hiyo pete ya uchumba bado ila migegedo haihesabiki, kuna haja gani tena ya kuvuta ndani? Kwani anakuja mpya?
kama jamaa kamwambia kuwa anataka harusi, hiyo ni pipe tuu si lolote. Atangoja saana harusi

teh teh!!!!! si umesoma uzi jamaa hatoi hata hela ya nauli ye anajua kulipia chumba apate papucci ,,,,, ndoa hapo hakuna na hata ikifungwa lazima ivunjike!!!!!!
nta mp nimpe somo cku akienda kugegedwa ampagawishe jamaa mpaka ampoze na ka vits
!!!!!!!
 
Rafiki yangu anaomba ushauri.
Ni msichana wa miaka 28 mzuri wa tabia, ana mvuto, wife material, mrembo, mchakarikaji wa maisha. Ana mchumba wake wa miaka miwili sasa. Mchumba huyo hamjali binti kwa lolote i mean Saloon, sio vocha, nguo wala hajawahi kumnunulia hata zawadi yoyote zaidi ya kumpa mapenzi tu. Yaani pesa ya jamaa haitoki mpaka siku akitaka 'K' tu! Siku hiyo jamaa yuko tayari kulipia hotel na chakula kisha huyooo hata nauli ya kumrudisha binti nyumbani anajitegemea. pia anasema mwanamme ana pesa na ni mfanyabiashara mkubwa tu. Shostito anamshangaa jamaa anamwambia anataka kumuoa na ana wivu wa kupindukia, na hataki ampe mtu yeyote 'K' anayoigegeda yeye. Shoga anaomba ushauri afanyeje? je wanaume wote wako hivo?

Kutoa hela ndio kujali?
 
huyu ndio mwanaume kamili pesa inatoka kwa mgegedo tuu...leta papuchi ndio nahudumia. hayo mambo ya salon kwako mwenyewe.

alafu yeye mwenyewe kajirahisisha miaka miwili ndii leo anaomba ushauri...loh!!! kakaa kimgegedo ndio maana jamaa anamtreat hivyo.

Habari ya siku nyingi?
 
Rafiki yangu anaomba ushauri.
Ni msichana wa miaka 28 mzuri wa tabia, ana mvuto, wife material, mrembo, mchakarikaji wa maisha. Ana mchumba wake wa miaka miwili sasa. Mchumba huyo hamjali binti kwa lolote i mean Saloon, sio vocha, nguo wala hajawahi kumnunulia hata zawadi yoyote zaidi ya kumpa mapenzi tu. Yaani pesa ya jamaa haitoki mpaka siku akitaka 'K' tu! Siku hiyo jamaa yuko tayari kulipia hotel na chakula kisha huyooo hata nauli ya kumrudisha binti nyumbani anajitegemea. pia anasema mwanamme ana pesa na ni mfanyabiashara mkubwa tu. Shostito anamshangaa jamaa anamwambia anataka kumuoa na ana wivu wa kupindukia, na hataki ampe mtu yeyote 'K' anayoigegeda yeye. Shoga anaomba ushauri afanyeje? je wanaume wote wako hivo?

Wapo wanaume wa aina hiyo, kwa sababu ameshamjua ni bahili, basi anapokuwa anahitaji mkwanja awe anasema. Akisubiri mpaka ampe mwenyewe itakula kwake.

Kama mwanaume hamuhudumii kwa lolote, K inahusikaje?
 
Women...whoever 'logad' u!???

You are not my wife, you do not get a cent from me..PERIOD!

Ukitaka na wewe nibanie vya kwako....

Yule shombe shombe kule bahari ya hindi Tanga hata urojo ulkuwa humnunulii?

Na yule mwanae vi ice cream ice, ice cream nini.

By the way uko powa?
 
huyu ndio mwanaume kamili pesa inatoka kwa mgegedo tuu...leta papuchi ndio nahudumia. hayo mambo ya salon kwako mwenyewe.

alafu yeye mwenyewe kajirahisisha miaka miwili ndii leo anaomba ushauri...loh!!! kakaa kimgegedo ndio maana jamaa anamtreat hivyo.

anafanya chenye faida ya moja kwa moja kwake tu...
 
Mapenzi sio mtaji! Jamaa yuko sawa saaana,huyo manzi ndo kabugi! Kwann ajiachie mapema ivooo kabla ya kuusoma mchezo...
 
Listen Smile yaani utumie vocha zako kumpigia bwana, utimie nauli yako kumfuata gesti (kwake), hata perfume na duodorant basi akuhudumie. mapenzi sio pesa ni kujaliana wote. Mke au gf ni pambo akipendeza unazidi kumpenda. mimi wangu ananihudumia na mie nanapata moyo wa kumhudumia boxer, soksi, nguo kuduchu ni jukumu langu kwa nimpendae

Aanze yeye kumpatia vitu kama hivyo aone kama hatazidishiwa mara mbili zaidi ya anachotoa.
 
Yule shombe shombe kule bahari ya hindi Tanga hata urojo ulkuwa humnunulii?

Na yule mwanae vi ice cream ice, ice cream nini.

By the way uko powa?
KOKUTONA...I am fine dear sijui ww.

I will pay for everything hata kama ni ww nmekutoa out. I am the man...but giving u cash ndipo nnapoona shida. Ila sometimes mbona tunatoa...
 
Last edited by a moderator:
mi naona amchukulie hivo hivo ..maisha si pesa tu. kwani swala la mwanaume kukupa hela linabeba maksi ngapi katika mia
kama sifa zingine anazo na ana asilimia at least 60 bebana nae tu

Hayajakukuta
 
Back
Top Bottom