Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
ubahili ukizidi ni tatizo
Mapenzi hayatabiliki mwingine atakwambia anakuvumilia kumbe anapunguza madikodiko yake huko nje,nawe ukaona kweli hapa napendwa navumiliwa kumbe mambo yanaendelea tu huko nje
ahahaaa nimehama kikosi cha mizinga
Kila pesa hutoka kwa hesabu Mkuu.
Unadhani ht ww ukiwa na pesa utatoa hovyo
anapokwenda kugegeda ni sawa sio salon.
Ushauri mwambie aendelee kumpa hiyo. Papuchi unajua huyo jamaa ni wa hesabu
Mzee wa Rula.
[FONT=century
gothic]Anafata virahisi kama vya huyo shosti yenu...as in for
real hata mm nikimpata ambaye nalipia hotel na fud tu...y not keep her
for the danger days!!!! hahah..bado unashangaa kwa nini unatumika!??
shieeeettttt....mnyime uone kama atakuja..unakaa kujiuliza kama
anakupenda au la?? mapenzi hayapo kwenye pesa mamii...kama ulitaka yawe
ivyo ungemwambia tangu mwanzo! ila alikuona cheap anakutumia vivyo
hivyo! Ukitaka kulipwa nenda Kimboka...[/FONT]
Me usiponipa nauli siji hotelin / gest, usiponipa vocha sikupigii wala sijibu sms, usipo nipa pesa za matumizi nakufanyia makusudi natafuta nguo mbaya siku hiyo sipaki perfume or lotion napaka mafuta ya kasuku kama nywele ndio timutimu chupi natafuta mbaya tena naitoboa papuchi siioshi siku tatu. nakuja tuone kama utaona raha
Nyie wanaume mnapenda mteremko sana, me mwanaume wa hivyo sikutaki mahaba niue akha
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
ubahili ukizidi ni tatizo
hapa kuna ukweli
thumb up
kaka umeingiliwa liveduuuuuh sijajua id yangu imeingiaje hapa lakini kwa maneno machache kabisa "ufahari nyumba yake ni umaskini"
after bwana..mambo ya kupumulia mashine siwezi mieni heri hivyo. Hutaumia utakapokuja kugundua. Plus, heshima/utu wako utabaki intact.
Aaaaah after ufoo saro ama be4??!
huko ni kulea ujinga .......,,,,, lol!!! hata nauli hatoi mbona anakutumia vibaya sana huyo???
kimbia hakufai na hawa matajiri inabidi kuwa makini sana smtms wanatumia nyota zetu kwa staili kama hiyo ye anatajirika we uko pale pale!!!!
kaka umeingiliwa live
Unalalamika hupewi hela unauza na kama unauza useme tu watu mjini hapa tumeserve matatizo mengi baada ya kuwa mabahili na imetusaidia kusonga mbele mshahara wenyewe hautoshi na halafu uhonge si bora nioe tu ili niwe nakupa kwa faida ya woteRafiki yangu anaomba ushauri.
Ni msichana wa miaka 28 mzuri wa tabia, ana mvuto, wife material, mrembo, mchakarikaji wa maisha. Ana mchumba wake wa miaka miwili sasa. Mchumba huyo hamjali binti kwa lolote i mean Saloon, sio vocha, nguo wala hajawahi kumnunulia hata zawadi yoyote zaidi ya kumpa mapenzi tu. Yaani pesa ya jamaa haitoki mpaka siku akitaka 'K' tu! Siku hiyo jamaa yuko tayari kulipia hotel na chakula kisha huyooo hata nauli ya kumrudisha binti nyumbani anajitegemea. pia anasema mwanamme ana pesa na ni mfanyabiashara mkubwa tu. Shostito anamshangaa jamaa anamwambia anataka kumuoa na ana wivu wa kupindukia, na hataki ampe mtu yeyote 'K' anayoigegeda yeye. Shoga anaomba ushauri afanyeje? je wanaume wote wako hivo?
after bwana..mambo ya kupumulia mashine siwezi mie
Sifanyi kazi hiyo kabisaaaa.....yakuendekeza mtu bahili halafu hotel chumba laki na kuendelea analipa kwenda kunipasua.
Labda pesa yake ya majini maana lol!!!!!
Sasa akimuoa si ndio atakuwa anamwachia mia mbili ya chakula jamani?
Hizi ni fikra pofu, nakumbuka kuna mwana JF mmoja zamani kidogo alishasema humu, kosa kubwa la wasichana na wanawake ni siku wanapoamua kumvulia chupi mwanamme kwa mara ya kwanza, nakubaliana nae 100%.
Nakuasa kijana, kama ulishawahi kuivua hapo nyuma, sasa wacha. Usiivue chupi yako kwa mwanamme mpaka baada ya kufunga ndoa (kama hizo chupi mnavaa siku hizi).
Sifanyi kazi hiyo kabisaaaa.....yakuendekeza mtu bahili halafu hotel chumba laki na kuendelea analipa kwenda kunipasua.
Labda pesa yake ya majini maana lol!!!!!
Hizi ni fikra pofu, nakumbuka kuna mwana JF mmoja zamani kidogo alishasema humu, kosa kubwa la wasichana na wanawake ni siku wanapoamua kumvulia chupi mwanamme kwa mara ya kwanza, nakubaliana nae 100%.
Nakuasa kijana, kama ulishawahi kuivua hapo nyuma, sasa wacha. Usiivue chupi yako kwa mwanamme mpaka baada ya kufunga ndoa (kama hizo chupi mnavaa siku hizi).