Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala

Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala

Tanga raha sana niliwahi fanyiwa massage ya kwenye mapu.mbu mixer maji ya moto kwenye kisahani yakiwa na marashi kibao!hapo mtu mzima gongeo lili fyatuka siku nzima!
 
isijekuwa ni majini hayo...!!!!

kuna binadamu wengine mi huwa siamini kama ni binadamu halisi!

Chunga sana unapokuwa ndani ya mikoa hii ya kanda ya pwani na mashariki kwa ujumla!

Not every person in a human body is created by soil! others were made by fire!
 
Aliefundwa akafundika hawez kukosa adabu hivyo na hawatangazii watu ila kwa mume tu huyo atakuwa anatangaza biashara
 
Alikua ana muibia tuu bwana ake....kuna mmoja alikua ana mwimbia bwana'ke hivyo bar flan,nika mpa gesture akajibu nikafanya manuva na juu nika kaa...so mleta mada ungemkonyeza huyo shangingi umsikizie
 
Co tatzo sema watz wanaona sio maadili ila ni kitu cha kawaida sana..

kila jambo lina wakati na mahala pake,
mule daladalani watu wamechanganyika, wengine misiba, wengine wamezinguliwa na wapenzi wao, wengine wameua!' ulete mahaba!? kila na kila mtu ana akipendacho,mfano wengine wanapenda mauno wengne hawataki kusikia habari hizo,wangeenda kuimbiana makwao,ndo maana mungu akatupa utashi wa kufanyia tendo la ndoa ndani na si popote unapojiskia kwenye mikusanyiko ya watu,tendo linawahusu yeye na mweza wake,ndo inakuwa mahaba,hayo ya kuimba mitaani na kwenye daladala wizi mtupu,!!

BIASHARA MATANGAZO,KAHABA TU HUYO
 
kila jambo lina wakati na mahala pake,
mule daladalani watu wamechanganyika wengne misiba wengne wamezinguliwa na wapenzi zao wengne wameua ulete mahaba! kila mt ana akipendacho,mfano wengne wapenda mauno wengne hawatak kuskia habar hzo,wangeenda kuimbiana makwao,ndo mana mungu akatupa utash wa kugongea ngoz ndani,inawahusu wewe na mweza wako,ndo inakuwa mahaba,huwa wa kuimba mitaani na kwenye daladala wizi tu,!!

Ukiangalia matatzo ya watu hutofanya kitu hapa duniani...
 
Hawa wanawake wa kitanga wamezid jamani heeeeee.....

Alikuwa kapanda na bwanake kwenye daladala wamekaa siti moja, mwanamke kamchukua bwanake akamuegesha kwenye kifua chake akawa anamuimbia nyimbo za kimahaba, halafu sio kwa sauti ya chini chini ilikuwa sauti kubwa tu mpaka kila mtu akawa anashangaa.

Alipokuwa anashuka akasema "mi ndio mtoto wa kitanga, nimefundwa nikafundika wenye kununa wapasuke twende tukalale laazizi wangu" hahahahahaha

Mambo mengine ni ushamba tu... Na Hilo lijamaa likawa limelalia kifua tuliii ...kha!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom