Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala

Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala

Kweli Kuna characters huwezi date hata kwa saa moja...!
 
Co tatzo sema watz wanaona sio maadili ila ni kitu cha kawaida sana..
 
Hawa wanawake wa kitanga wamezid jamani heeeeee.....

Alikuwa kapanda na bwanake kwenye daladala wamekaa siti moja, mwanamke kamchukua bwanake akamuegesha kwenye kifua chake akawa anamuimbia nyimbo za kimahaba, halafu sio kwa sauti ya chini chini ilikuwa sauti kubwa tu mpaka kila mtu akawa anashangaa.

Alipokuwa anashuka akasema "mi ndio mtoto wa kitanga, nimefundwa nikafundika wenye kununa wapasuke twende tukalale laazizi wangu" hahahahahaha

Dala dala ya njia gani?
 
Tt lakitanga kipini puani heleni kibao masikioni shanga kichwani (wenyewe siku hizi wanabania nywele au vilemba)mikufu ya maana shingoni bangili za shanga mikononi zisizo na idadi vikuku miguuni na pete kwenye vidole vya miguu wanja alioupaka kiasi akikutazama waweza sema jicho lataka kuanguka mtt si mrefu si mfupi si mnene si mwembamba tt namba 8 unaiona ukiangalia vizuri unaiona ya ndani yake hapo lazima rijali uchepuke
 
Walishukia na kupandia vituo gani? Samahani sijui unakumbuka walipanda hiyo daladala muda gani? Na mimi nataka nikamvizie huyo dada wa kitanga!
Hawa wanawake wa kitanga wamezid jamani heeeeee.....

Alikuwa kapanda na bwanake kwenye daladala wamekaa siti moja, mwanamke kamchukua bwanake akamuegesha kwenye kifua chake akawa anamuimbia nyimbo za kimahaba, halafu sio kwa sauti ya chini chini ilikuwa sauti kubwa tu mpaka kila mtu akawa anashangaa.

Alipokuwa anashuka akasema "mi ndio mtoto wa kitanga, nimefundwa nikafundika wenye kununa wapasuke twende tukalale laazizi wangu" hahahahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom