Mwanamke wa kirangi

Mwanamke wa kirangi

Status
Not open for further replies.
aicee 90% wanapenda limbwata ndani ya ndoa af kwa historia yangu demu wa kirangi hajawahi kunikataa,kuna mwingine alinikubalia nakuja home namueleza bro ananiambia yle ni demu wake na ushahidi kibao, anyway maybe wako yuko kune 10%

Mkuu, nawe kwani ni mrangi? mbona unasifa zilizotajwa. kabla hujajibu kumbuka m/mke hawezi kuitwa **laya bila mwanamme
 
Mh! hata sikushauri wanatabia ya kumlimbwata mwanaume yani hata ufanyiwe nn ww hukurupuki na hawapendi ndugu wa upande wa mwenzake, ni hayo tu machache ukitaka mengi .........

tunawalimbwata kwa mauno
na makea kibao,rangi, figure zinawachanganya
tunadumu sana kwny ndoa zetu na hatupo kama mnavyojaji
kuhusu umalaya hakuna kabila lisilopenda uchi so ni malezi na makuzi
ya mtu,na tabia ya mtu pia!!umalaya ni tabia ya mtu c kabila!!
 
Hawa chunu cha boa hawafai kabisa,kula tembea usiwekeze utakufa,wanawake wengi wa kirangi tunao hapa area "a"dom waume zao wakufa baada ya kujenga.
 
Hawa chunu cha boa hawafai kabisa,kula tembea usiwekeze utakufa,wanawake wengi wa kirangi tunao hapa area "a"dom waume zao wakufa baada ya kujenga.
duuuh! kumbe hawafai hata kwa kulumangia na ugali...yaani ukijenga tu wanakuua!....unawaogopesha watu waliooa warangi ndugu yangu!
 
Hawa chunu cha boa hawafai kabisa,kula tembea usiwekeze utakufa,wanawake wengi wa kirangi tunao hapa area "a"dom waume zao wakufa baada ya kujenga.

Mkuu naona unataka kupindisha ukweli wa kabila lako la kichagga,,wachagga wanawezana wenyewe kwa wenyewe mi Uncle wangu alioa mMachame aliipata.
 
duuuh! kumbe hawafai hata kwa kulumangia na ugali...yaani ukijenga tu wanakuua!....unawaogopesha watu waliooa warangi ndugu yangu!

hiyo sifa wala hatunaga
usafi kwetu tumejaliwa
mvuto usipime,rangi ya kuita
viuno feni cha mtt,vingine ni tabia ya mtu
wala si kabila!!tumefundwa tukafundika alaaaa!!
 
Hawa chunu cha boa hawafai kabisa,kula tembea usiwekeze utakufa,wanawake wengi wa kirangi tunao hapa area "a"dom waume zao wakufa baada ya kujenga.

uongo uliotukuka huo Mkekuu
sifa hii ni ya huko kwenu!!
 
Last edited by a moderator:
Pesa kila mtu anapenda, tatizo ni kwamba wanaume tunaokutana nao uwanjani huwa wanacheza chini ya kiwango.Unakuta jitu zima lakini kwenye 6x6 ni chekechea sasa mchezaji kama huyo wa nini nikuuzwa tu.
 
We kaka kama umempenda muoe ucckilize ushauri wa mtu kila kabila lina udhaifu wake co warangi tu kama limbwata lipo kwa makabila yote uhuni ni makabila yote ukimchunguza sana bata hutomla!
 

tunawalimbwata kwa mauno
na makea kibao,rangi, figure zinawachanganya
tunadumu sana kwny ndoa zetu na hatupo kama mnavyojaji
kuhusu umalaya hakuna kabila lisilopenda uchi so ni malezi na makuzi
ya mtu,na tabia ya mtu pia!!umalaya ni tabia ya mtu c kabila!!

Ni kweli kabisa my!
 

uongo uliotukuka huo Mkekuu
sifa hii ni ya huko kwenu!!

Mi baba yangu alitaka kuuliwa na mwanamke wa kimachame kisa gari na nyumba! so inshu ya kuua kwa wa rangi kisa nyumba naipinga kwa nguvu zote! kwanza warangi ni wapole na wanahuruma!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naona unataka kupindisha ukweli wa kabila lako la kichagga,,wachagga wanawezana wenyewe kwa wenyewe mi Uncle wangu alioa mMachame aliipata.
hatubishani mkuu,ila ukweli ndo huo,hutaki basi povu lisikutoke sana mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom