Mwanamke wa KIGOGO.

jamani wifi si ndo mapenzi yenyewe hayoo? sasa hata usipoulizwa na kubanwa inakuwa hainogi,muambie aku-keep busy usahau jf (simu kila saa na ma-babes ya kutosha,lol). hebu mdhibiti banaa,manake naona siku hizi anazidi kutakata.
usiwe na wasi na huyu kili atachanganya na akili zake
Wifi za masiku sio shwari...kakako anataka kunipangia hata siku za kuingia JF....sijui ni wivu au ndo ananionyesha nani mwamuzi!!Lolzzz!Nimekumiss pia wifi!Ahhh haya mambo ya kujadili makabila ya watu yanachosha na kuboa kweli....utadhani mtu anazaliwa na kulelewa na kabila!!!Ajue anaweza akapata sifa nzuri sana hapa baada ya kuingia anakuta aliyodhani/ambiwa siyo...au akalemewa na sifa mbaya na kuamua kukaa mbali kumbe kajikosesha bahati ya kumpata anaemfaa!Kama kapenda amchunguze tu na sio kuuliza "katoka wapi"..."kabila lake lina rangi gani" ....
 
Duhhhhhhhhhhh....Nimeuvaa mkenge....

Nilidhani watu wachambua tabia za wake wa wakubwa (vigogo ..wingi au kigogo...umoja)...kumbe ni mambo ya makabila na ukabila!!


Kwa herini......!!!

Babu DC
 
Salaam wana MMU,Kumekua na mada mbalimbali zinazohusu tabia,silka za wanawake wa kutoka makabila mbalimbali yaliyo ndani ya Tanzania au nje YaTanzania,mfano kuna mada kuhusu wanawake wa kichaga,kingoni.wakurya na wanyarwanda,wadau wakachambua na tukajua tusivyovijua kuhusu wanawake wa makabila hayo.Leo nimeona siyo vibaya tukajaribu kuelezea Tabia za wanawake wa KiGOGO.Note:tukiacha ile sifa yao kubwa ya utani ya kuombaomba(umatonya)Nawasilisha.
Mwanamke wa kigogo ya mburahati or kigogo ukiwa unamaana kibossile or wale wa kanda ya kati dodoma? Majibu yangu nitayatoa km nilivyoanza hapo juu...1. Wanamke wa kigogo (mburahati) hawa hupenda sana starehe, hupenda kwenda kwenye vikundi vya ngoma mtaani na mara nyingi huko ngoma km segere hazikosi. Pia hupenda sana taarabu, karibia kila bar hupigwa taarabu. Kumbukeni % kubwa ya wakazi wa kigogo ni wazaramo na watu wa pwani.2. Wanawake wa kigogo(viboss) hawa wanaongoza kwa ufujaji wa pesa kwa mambo yasiyo ya msingi, then watu hawa kwa dhalau ucpime! Mf. Mke wa mwai kibaki aliwachapa waandishi vibao!3. Wanawake wa kigogo (kanda ya kati-dodoma) hawa wanaongoza kwa kutojua thamani ya mapenzi na ndoa, hawajui malezi ya watoto, ni wachafu, wana uelewa mdogo na wakizibuka na maisha ya town huchanganyikiwa kabisa!
 
Duhhhhhhhhhhh....Nimeuvaa mkenge....Nilidhani watu wachambua tabia za wake wa wakubwa (vigogo ..wingi au kigogo...umoja)...kumbe ni mambo ya makabila na ukabila!!Kwa herini......!!!Babu DC
Hata mimi wamenichanganya sana hao mambwana, nilidhani wanawake wa kigogo(mburahati) na wale wa (mabosi) teh! Wale wa kigogo (dom) twawajua ni omba omba!
 
kabila siku iz sio ttizo kila mtu na tabia yake na inatokana kusoma na kujichanganya na watu
 
Hivi bado kuna kabila ambalo wanawake wote wanafanana kitabia hapa nchini kweli? Kama wale waliokuwa na sifa ya kuchoshwa na kazi za kuhudumia ng'ombe mchana kutwa hata ikifika wakati wa majambozi kuishia kusema "..mi nalala... ukimalisa uifunike.... sitaki ipate baridi..." leo ni mabingwa wa kutumia nyonga iweje wanawake wa Kigogo waendelee kutobadilika? Mie nafikiri sifa yao ni kwamba ama baba zao au wazazi wao wote ni wagogo hii ndiyo sifa kubwa ninayoijua kwa uhakika hata kufikia leo saa 8.34 mchana.
Salaam wana MMU,
Kumekua na mada mbalimbali zinazohusu tabia,silka za wanawake wa kutoka makabila mbalimbali yaliyo ndani ya Tanzania au nje YaTanzania,mfano kuna mada kuhusu wanawake wa kichaga,kingoni.wakurya na wanyarwanda,wadau wakachambua na tukajua tusivyovijua kuhusu wanawake wa makabila hayo.
Leo nimeona siyo vibaya tukajaribu kuelezea Tabia za wanawake wa KiGOGO.

Note:tukiacha ile sifa yao kubwa ya utani ya kuombaomba(umatonya)

Nawasilisha.
 
Salaam wana MMU,
Kumekua na mada mbalimbali zinazohusu tabia,silka za wanawake wa kutoka makabila mbalimbali yaliyo ndani ya Tanzania au nje YaTanzania,mfano kuna mada kuhusu wanawake wa kichaga,kingoni.wakurya na wanyarwanda,wadau wakachambua na tukajua tusivyovijua kuhusu wanawake wa makabila hayo.
Leo nimeona siyo vibaya tukajaribu kuelezea Tabia za wanawake wa KiGOGO.

Note:tukiacha ile sifa yao kubwa ya utani ya kuombaomba(umatonya)

Nawasilisha.

Hivi Rose Mhando ni mgogo au ili basi niwasifie kwa kuimba kama sio kwa mtindo wa Rose Mhando basi kwa kutumia vile viredio vyao wanapokuwa wamekusanyika kando ya barabara wakiwaweka attention wapitaji ili watoe chochote.
 
Haya mambo ya kuchambuana makabila haya yatakuja kuleta mizozo isiyokuwa na maana, after all ndo chanzo cha ukabila na ubaguzi. Alafu kwa ulimwengu huu sidhani kama kuna kabila ambalo wanawake tabia zao ni uniform. Mi naona sifa ya mwanamke ionekane kutokana na ye mwenyewe binafsi jinsi alivyo na sio kugeneralize la sivyo tutaangukia choices mbaya na vilevile tutakuwa hatuwatendei haki wahusika.
 
Acha umbea mtoto wa kiume ingekuwa zanzibar tungekuvalisha chupi ya bambino na dela alafu tungeku ''chumu'' coz siku hizi mambo ya makabila ya mepitwa na wakati na wanaume ambao wanaoa kwa kuangalia makabila ni vidudu mtu.Hata wanawake wa ki barbeg siku hizi wameelimika.Leta hoja za maana sio huu upuuzi wa kitoto.

Bora wewe umesema eti kabila inahuuuu watu wengine bana
 
Wajeuri, wakatili sana,

Mbaya zaidi,............ wanafanyiwa ile kitu mbaya, (tohara)
 
Kwanini "Wanawake" wa kigogo? That is gender discrimination, some of us are feminists hatupendi kuwa discriminated. Jadilini na "Wanaume" wa kigogo pia basi ili kuwe na fairness........@#$%!^&*
 
Wagogo huwa wanaoga mvua mpaka mvua, uvumilie.

Wagogo wanatabia ya kumuonesha mtu kitu kwa kutumia miguu vumilia tu.

Wagogo wanauwezo wa kukimbia mwanaume bila sababu yeyote, kuwa mvumilivu tu.

Wagogo wanauwezo wa kumbemenda mtoto na ukimshitaki ujue anakuachia hapo hapo yeye analala mbele Uendelee kuwa mvumilivu.

Wagogo wanaweza wakagegedwa popote pale hata kama ni kitandani kwenu, yaani uwe mvumilivu.

Wagogo wanaweza kuzaa watoto kibao halafu kila mtoto ana baba yake yaani vumilia tu.

Wagogo wanaweza.....................................we kuwa mvumilivu

Yote hayo ila ni watamu hamna mfano.
 
Back
Top Bottom