Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Salaam wana MMU,
Kumekua na mada mbalimbali zinazohusu tabia,silka za wanawake wa kutoka makabila mbalimbali yaliyo ndani ya Tanzania au nje YaTanzania,mfano kuna mada kuhusu wanawake wa kichaga,kingoni.wakurya na wanyarwanda,wadau wakachambua na tukajua tusivyovijua kuhusu wanawake wa makabila hayo.
Leo nimeona siyo vibaya tukajaribu kuelezea Tabia za wanawake wa KiGOGO.
Note:tukiacha ile sifa yao kubwa ya utani ya kuombaomba(umatonya)
Nawasilisha.
Kumekua na mada mbalimbali zinazohusu tabia,silka za wanawake wa kutoka makabila mbalimbali yaliyo ndani ya Tanzania au nje YaTanzania,mfano kuna mada kuhusu wanawake wa kichaga,kingoni.wakurya na wanyarwanda,wadau wakachambua na tukajua tusivyovijua kuhusu wanawake wa makabila hayo.
Leo nimeona siyo vibaya tukajaribu kuelezea Tabia za wanawake wa KiGOGO.
Note:tukiacha ile sifa yao kubwa ya utani ya kuombaomba(umatonya)
Nawasilisha.