Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

5db00d2611ebd880e9d03c6f37278972.jpg
8bbe8088bdc81e5b17eb172e20e6cbfc.jpg

Nacheki Joto City girlz

Endeleeni kukaa tu maporini na kutambia kilimo + kutuita wanaume wa Dar 7bu kwenu hakuna vitu vizuri......
Mkachunge ng'ombe na kupalilia mipapai!!!

Bishoo la Joto City
The Bitoz
Yalaaaah
 
Bitoz nimekuuliza ule mpango wenu wa kujenga geti pale chalinze umefikia wapi?
 
Hahahahaa bitoz nimeshaingia tayari darisalaam nimemaliza kuuza mifugo vipi nikutafute
 
Siku izi mademu kukaa nusu uchi ndo habari ya mjini. Ukivaa kiheshima unaonekana mshamba
 
Bitoz dada zenu huwa hamuwapi pesa jana nimeuza mifugo yangu nikaona ngoja nimtafute dada yako njaa kweli watafutieni mitaji sio kusubiri mizinga tu
 
Bitoz dada zenu huwa hamuwapi pesa jana nimeuza mifugo yangu nikaona ngoja nimtafute dada yako njaa kweli watafutieni mitaji sio kusubiri mizinga tu
Bushstar una mbwembwe umezoea kuhonga viazi huko kwenu sasa ukija Joto City unalalamika
 
Back
Top Bottom