Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

Wanaume dar vipi kuna kundi limeibuka linaitwa 10 ndani 10 nje vitoto tu lakini vinafunga mitaa nyie mmekalia kumjadili wema na zari nina mpango wa kuuza kondoo na mifugo yangu yote nije niwahamishe wanaume wote wa dar niwahamishie zanzibar mkale urojo sawa?
Endelea kujisaidia porini km mifugo yako
Korosho huwezi kuuza coz wanaume wa Dar ndo solo lenu kuu halafu mnajifanya wajanja
Korosho zenu chafu chomeni mle wenyewe
 
Sisi hatutegemei wanaume wa dar kuwauzia mazao yetu tunauza uganda na malawi halafu mbona viongozi karibia wote tumewaazima kutoka mikoani?
 
Sisi hatutegemei wanaume wa dar kuwauzia mazao yetu tunauza uganda na malawi halafu mbona viongozi karibia wote tumewaazima kutoka mikoani?
Km vipi muache kushukia pale Ubungo
Hao viongozi ni wajanja wamewakimbia huko maporini na kuja Joto City kwa wajanja na ndio maana wabunge wanang'ang'ania hukuhuku Joto City
Karibu Joto City jiji la kijanja
 
Jianadaeni kuniachia huo mkoa mnakalia kucheza bao tu ngoja wanaume wa kazi tuje tupaweke sawa wote tunawahamishia mkuranga wanaume gani watoto wadogo tu panyaroad wanawazidi nguvu mkija mikoani si mtafukuzwa hata na paka
 
Jianadaeni kuniachia huo mkoa mnakalia kucheza bao tu ngoja wanaume wa kazi tuje tupaweke sawa wote tunawahamishia mkuranga wanaume gani watoto wadogo tu panyaroad wanawazidi nguvu mkija mikoani si mtafukuzwa hata na paka
Hamna lolote mnatambia kilimo halafu mnakufa maskini na kuzikwa kifukara km mifugo yenu
Sisi tunacheza bao sababu tuna dili zetu ambazo sio za kutumia nguvu ....tunastarehe tu halafu tunaenda kuchukua mahesabu
Karibu Joto City
 
Hahahaha eti mna dili gani kutapeli watu ndio maana kila mwaka lazima mafuriko yawasombe mnakalia kula urojo halafu mnajenga nyumba legelege kama urojo mnaishi mtoni mmekuwa viboko
 
Hahahaha eti mna dili gani kutapeli watu ndio maana kila mwaka lazima mafuriko yawasombe mnakalia kula urojo halafu mnajenga nyumba legelege kama urojo mnaishi mtoni mmekuwa viboko
Kumbe vibanda vya udongo na nyasi huko kwenu mnaita Nyumba
Sisi hata yaje mafuriko haturudi kijijini .......
 
Nyie waporipori mnakera sana mnafanana na mifugo yenu
*wakorofi
*wachafu
*hamna akili
*mnakaa porini
*mnakunyakunya ovyo tu porini
*mnalala pamoja na mifugo yenu
*mnaridhika na na pesa ya kula tu km mifugo yenu
*mnamiliki vibaiskeli km wauza mikaa
*mnazaliana ovyoovyo km paka
*MNA mambo ya kizamani km bushman
*mnalala gizani km bundi

Pamoja na hayo yote tukiwakamata wake zenu hawatuachi na wanawasahau,maana tunajua kuwafikisha keleleni
 
Dar kuna nyumba gani vibanda vimepangana kama milima ya huku mikoani halafu mafuriko yakija mnaanza kuililia serikali iwasaidie cha kujiuliza nyie ni wanaume au wanawake
 
Dar kuna nyumba gani vibanda vimepangana kama milima ya huku mikoani halafu mafuriko yakija mnaanza kuililia serikali iwasaidie cha kujiuliza nyie ni wanaume au wanawake
Km shida yako kujua jinsia zetu njoo tu Joto City kilegelege
 
Labda mkusanyikane wala urojo 200 ndio naweza kupambana lakini wewe tu nakutunza kwenye koti langu lile la kwendea shambani tukifika mwanza nakupa kazi ya kuchunga vifaranga vya kuku kwa sababu najua kuchunga ndama tu huwezi mwaume legelege utakazwa ohhhooo
 
Labda mkusanyikane wala urojo 200 ndio naweza kupambana lakini wewe tu nakutunza kwenye koti langu lile la kwendea shambani tukifika mwanza nakupa kazi ya kuchunga vifaranga vya kuku kwa sababu najua kuchunga ndama tu huwezi mwaume legelege utakazwa ohhhooo
Matege yenu yametokana na ukosefu wa lishe siyo ukakamavu hata vifua vyenu km ubao wa kamari
 
utawajua tu wa vijijini wakishaona mizigo kama hiyo wanaanza kulalamika kwa sabababu vijijini hawewezi kuipata,... acheni wivu wa bush star
 
utawajua tu wa vijijini wakishaona mizigo kama hiyo wanaanza kulalamika kwa sabababu vijijini hawewezi kuipata,... acheni wivu wa bush star
Mabushman wamezoea kubaka mifugo tu wakija Dar upiga puli tu na mambo ya ajabuajabu
 
Sasa dar kuna mwanaume gani mwenye kifua kazi kufuga matumbo yasiokuwa na formula tumbo kama chura yaani nyie kazi yenu kusoma yale magazeti pendwa na kucheza bao na kushinda vibarazani halafu tukija huko mnatupiga mizinga eti tuwaletee sato dagaa wa mwanza hamna lolote kujiongoza mmeshindwa tukaona siyo mbaya tukiwaazima wanaume wa mikoani
 
Sasa dar kuna mwanaume gani mwenye kifua kazi kufuga matumbo yasiokuwa na formula tumbo kama chura yaani nyie kazi yenu kusoma yale magazeti pendwa na kucheza bao na kushinda vibarazani halafu tukija huko mnatupiga mizinga eti tuwaletee sato dagaa wa mwanza hamna lolote kujiongoza mmeshindwa tukaona siyo mbaya tukiwaazima wanaume wa mikoani
Wafugaji hamuishiwi vituko
Sisi tunapiga wine nyie viroba + mataputapu
Sisi tunakula hotelini nyie vyakula km vya mashudu ya kuku
Sisi tunapiga dili za akili nyie mnatumia nguvu
Sisi tunaendesha ndinga nyie vibaiskeli
Halafu tulingane matumbo
Nyie wasukuma hatuhitaji Sato wenu .....tutanunua beaf Mlimani Ciry
 
Back
Top Bottom